Kufanya biashara na Wabongo yataka moyo; mwanangu amepigwa vibaya bidhaa za mtumba.

Hv haiwezekani kurejesha au kudai hao wauzaji? Mfano kwa hilo la viatu vya kushoto tupu, duh!
 
kwa belo za mtumba dar bila kushikwa mkono na m2 kuna mawili upate mzigo mbovu kupindukia au ununue kwa bei juu sana kiasi faida usione madalali watakupiga bei cha kukusaidia cheki na huyu m2 +255736230008 atakupa ushauri na kukuelekeza aina belo ya kuchukua wapi inapatikana na mengne mengi katika tasnia ya mitumba coz ana uzoefu wa muda mrefu
ata nikisema nkuelekeze duka la belo kali ukienda ww unaambiwa amna ila unashangaa wenzko wanatoka na mizigo pia kuna belo zingne tangu zpo katika meri zishaisha watu wanalipia kabla meri aijatia nanga na kuna belo zingne kutokana na uchache alafu ni kali zinaposhka tu zinalazimika kuuzwa mojamoja au mbili ili kila mtu apate sasa jiulize wakongwe wanapewa moja moja au mbili sasa ww folena utapata sasa hapo ndo linapokuja swala la kushikwa mkono na wajuvi wa mambo

akikuuliza namba umepata wapi mwambie pamjela wa mlimba ifakala kanipa uliemtumia belo za belgium na tropical wiki iliyopita

MUHIMU KUMBUKA MTUMBA NI KAMA KUCHIMBA MADINI MGODINI
 
Ungeweka namba ako mkuu, akishikwa mkono akasulubiwa vibaya atakupa vp mrejesho? Duh.. Sawa na kuuziwa mbuzi ndani ya junia kumbe li-mbwa
 
Kuna watu wananunua mzigo kabla hata haujafika Tanzania ,kununua belo ni risk sana labda jamaa wawe wanakufahamu watakueleza ukweli.Nenda na hela yako Karume wakiwa wanafungua kuuza rejareja chagua nguo/viatu/pochi/begi unazotaka nunua rejareja mpaka unapata mzigo sawa na belo
 
Duuuuu! Nimecheka sana ila sijacheka kwa mazuri. Kweli bongo bahati mbaya. Hata mi mwenyewe nilitakaga kuingia kwenye biashara ya mitumba ya viatu ila jamaa yangu aliponiambia kuwa nikubahatisha nilikata na tamaa.
 
Dah na mdogo wangu anafungua pale Ilala Boma uhakika tajiri, bonge la Ustadhi na hautojuta.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kuna watu ni wauaji..

Belo tatu kimeo? [emoji28][emoji28]. Mapajama mixer mabukta mabwanga mixer kiatu ya kushoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kweli huku ndio Dasilamu
Hahahaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23] Duuuh nime cheka sana
 
Ukishindwa nenda kapige kambi uwe una point moja baada ya nyingine
 
Mkuu mtumba unahitaji moyo sana kuuza wengi wanaouza ni biashara ya malikauli mzigo wa mahindi akiuza anampelekea pesa yake cha juu anachukua
 
Baada hasara ndo unakumbuka kuuliza
Mkuu wewe hujawahi kupotea njia na kuuliza wasamilia wema? Kama ulishawahi kupotea njia mbona hukuuliza kabla hujaanza safari. Ukweli ni kwamba unaweza ukaelekezwa njia na bado ukapotea. Ndio maana unapokuwa safarini kama wewe ni mgeni eneo hili huwezi choka kuuliza wenyeji wakuelekeze unapokwenda hata kama wameshakuelekeza kabla. TUSIMLAUMU MSHIKAJI BALI TUMPE POLE NA USHAURI MZURI ILI NEXT TIME ASIFANYE MAKOSA TENA!
 

tumia posta
 
Mnazi mmoja kama unaenda karikoo baada ya mataa naonaga kuna maduka maduka kibao ya mitumba...

Akajaribu pale...

Cc: mahondaw
 
Sorry Rebeca, hivi ukiwatumia hao DHL mzigo wako ukifika JNIA kutoka inakuaje...kuna mzigo wangu naambiwa upo pale wiki ya 2 hii alafu sijui process zikoje na ni first time kuwatumia hao DHL....mm nikajua mzigo unaenda mpaka kwa muhusika moja kwa moja!!!
 
Kuna jamaa yangu yupo mnazi mmoja ndo biashara zake Kama unahitaji namba yake naeza kukutumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…