UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,399
- 1,014
Kuna jamaa yangu yupo mnazi mmoja ndo biashara zake Kama unahitaji namba yake naeza kukutumia
Ata mim nasubir majibu apa kwan nataka kutumiwa mzigo kutoka Thailand, so ukipata majibu naomba tufahamishane bidadamie natakaa kujua ukituma mzigo kilo Tano kupitia DHL kutoka UK ni shilingi ngapi???maana nahisi hao DHL ni wezi sana,wanavaa nguo za watu walizoshindwa kuzikomboa....mie niliambiwa laki tano kwa mzigo huo,wakati hela ya kusafirishia nimeilipa,msaada wanajamii....
Hahaa unaweza kujinyonga ujue ... kuna umuhimu mkubwa wa kufanya research na kuwa na good network kabla haujaamua kutoa pesa zako nakununua bidhaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kuna watu ni wauaji..
Belo tatu kimeo? [emoji28][emoji28]. Mapajama mixer mabukta mabwanga mixer kiatu ya kushoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli huku ndio Dasilamu
Hahaaa jinga kweli[emoji121]
MI' MWENYEWE NIMEONA HURUMA SANA RAFIKI YANGU,
ILA NIKIYACHEKI MABWANGA, VIATU VYA KUSHOTO NA MAPAJAMA KICHEKO HAKIZUILIKI!!!
[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Hahaaa haaa angekupiga mbata na urafiki ungeisha papo hapoHata hivo ww mwenyewe una moyo hadi umeenda kuchekea chooni maana mm ningecheka hadi mbavu zingepinda na angeniona mkudaa kweli daaa MPE pole sana jamaaa hii ndo dalusaaalaam
SureUkiamua kufanya jambo lolote jipya kwanza unawatafuta wajuzi wa jambo hilo wakuelekeze linafanywaje.
Hii ndo biashara ninayoipenda kuliko zingine na nimefanya maisha yangu yote......balo nzuri zipo Mnazi-mmoja ila zinataka uwe na watu hususan kama ndo unaanza.[emoji121]
WAKUU,
KUNA ALIYEWAHI KUFANYA BIASHARA YA NGUO ZA MTUMBA HUMU?
YAANI KUNA MWANANGU KATOKA ZAKE SINGIDA KAJA DAR KUNUNUA BELO 3 ZA NGUO ZA MTUMBA.
AMEFUNGUA YA KWANZA INA KAPTURA MABWANGA TU,
NIKAMPA MOYO KUWA LABDA LA PILI LITAKUWA POA,
AMEFUNGUA LA PILI LINA MAPAJAMA YA KULALIA MAKUBWA KAMA TURUBAI,
NIKAONA MWANA MACHO YASHAANZA KULENGA MACHOZI YA KIUME KWA MBALI-
NIKAMWAMBIA AFUNGUE LA TATU.
HILI LA 3 NI LA VIATU TU,
YAANI KARIBIA VYOTE NI VYA KUSHOTO TUPU!!!
KIUKWELI INATIA HURUMA HADI NIKALAZIMIKA KUINGIA CHOONI KWENDA KUCHEKA KWANZA!!!
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
-------
SASA WAKUU KWA ANAYEJUA ZINAKOUZWA BELO GENUINE ZA MTUMBA ATUPE MWONGOZO,
MAANA'KE NAMI NILITAKA NIJILIPUE NIPELEKE MZIGO MTWARA NEXT WEEK,
ILA KWA NILICHOKIONA KWA MWANA NI VEMA NIVUTE SUBIRA KIDOGO!!
[emoji28][emoji28][emoji28]
Duh Pole. Siku nyingine kabla hujatumiwa Mzigo nenda DHL ukapate ufafanuzimie natakaa kujua ukituma mzigo kilo Tano kupitia DHL kutoka UK ni shilingi ngapi???maana nahisi hao DHL ni wezi sana,wanavaa nguo za watu walizoshindwa kuzikomboa....mie niliambiwa laki tano kwa mzigo huo,wakati hela ya kusafirishia nimeilipa,msaada wanajamii....
Kweli mkuu nimewai point gauni la 4000 mwaka 2012 ilikuwa mbeya, akalinunua sister ang mwenyewe. Alivyo fika nalo Dar, kuna siku wauza mitumba wakapita Ile wanalipuka bei na nguo zao , akawa crush kwamba mbona nguo zenu bei juu af za kawaida, sasa Ile ubishi akawatolea lile gaun .....aisee majamaa walikuwa tayari kutoa 30000 IL wwkauze ila lile gaun lilikuwa zuri Sana!!!!!ya kweli haya mkuu?
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji121]
WAKUU,
KUNA ALIYEWAHI KUFANYA BIASHARA YA NGUO ZA MTUMBA HUMU?
YAANI KUNA MWANANGU KATOKA ZAKE SINGIDA KAJA DAR KUNUNUA BELO 3 ZA NGUO ZA MTUMBA.
AMEFUNGUA YA KWANZA INA KAPTURA MABWANGA TU,
NIKAMPA MOYO KUWA LABDA LA PILI LITAKUWA POA,
AMEFUNGUA LA PILI LINA MAPAJAMA YA KULALIA MAKUBWA KAMA TURUBAI,
NIKAONA MWANA MACHO YASHAANZA KULENGA MACHOZI YA KIUME KWA MBALI-
NIKAMWAMBIA AFUNGUE LA TATU.
HILI LA 3 NI LA VIATU TU,
YAANI KARIBIA VYOTE NI VYA KUSHOTO TUPU!!!
KIUKWELI INATIA HURUMA HADI NIKALAZIMIKA KUINGIA CHOONI KWENDA KUCHEKA KWANZA!!!
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
-------
SASA WAKUU KWA ANAYEJUA ZINAKOUZWA BELO GENUINE ZA MTUMBA ATUPE MWONGOZO,
MAANA'KE NAMI NILITAKA NIJILIPUE NIPELEKE MZIGO MTWARA NEXT WEEK,
ILA KWA NILICHOKIONA KWA MWANA NI VEMA NIVUTE SUBIRA KIDOGO!!
[emoji28][emoji28][emoji28]
Tangu lini Magomeni kukawa na balo nzuri za nguo.....[emoji121]
Kachukulia Magomeni mkuu.