Hance Chance Balance
Member
- Aug 17, 2020
- 10
- 8
Kwema wadau nilikuwa naomba kujua je eneo la Kisesa Mwanza ni pachangamfu kufanya biashara ya vinywaji baridi soda maji n.k au ya nafaka kwa Bei ya rejareja
Mwenye uzoefu na biashara hizo kwa eneo la kisesa mwanza naomba points zenu muhimu.
Asante
Mwenye uzoefu na biashara hizo kwa eneo la kisesa mwanza naomba points zenu muhimu.
Asante