Kufanya haya mwanaume haipendezi. . . (Mwendelezo wa sisi ni wanaume bwana!)

Haipendezi mwanaume kununua ka-vista au ki-gx 110 na kila akishuka anatingisha funguo kama amepaki CESSNA two seates! (ni jet hiyo jamani sio AUDI AU LAMBORGINI AU ASTON MARTIN).

uwiiiiiiiiiiiii.......hahhhahahaaa
 
uwiiiiiiiiiiiii.......hahhhahahaaa

Ni kweli lakini, unajua ni bora uweke funguo mfukoni bana! Sasa ukutane na aliyeweka alarm kwenye gx 110 yake! Kwanza kila muda anatoka kuiangalia na kuna mtu anaiosha na kuifutafuta, wacha we!
 
inasikitisha sana kuona wanaume tunavyohangaikia maisha wakati wengine hawa-appreciate
 
Haipendezi mwanaume ukaomba mkeo mchezo akakunyima halafu ukamwacha hivihivi tu.

heeeee! Haya ni ma big. Unataka afanyeje? Ambake ama ampige? Haipendezi mwanaume ku force issue wakati sabuni na maji ya moto yapo siku moja moja!
 
Haipendezi mwanaume kufuga mivuzi na kulazimisha kun*******liwa.
Haipendezi mwanaume kufuga mikucha halafu ukute michafuuuu
Haipendezi mwanaume kutoa harufu mbaya mwilini. Kwapani, Takoni,Miguuni,
Mdomoni,Sikioni,ama hata Puani
 
Haipendezi mwanaume kufuga mivuzi na kulazimisha kun*******liwa.
Haipendezi mwanaume kufuga mikucha halafu ukute michafuuuu
Haipendezi mwanaume kutoa harufu mbaya mwilini. Kwapani, Takoni,Miguuni,
Mdomoni,Sikioni,ama hata Puani

Duuh! Kitu full v..u..z kama pori la msitu wa pande! Ha ha ha! Ndo anang'ang'nia sasa! Ila kucha si ndio wale wanasafishwa saluni siku hizi?
 
haipendezi mwanaume kusifia msichana mwingine mbele ya mkewe au hata kusimulia juu ya mazuri ya ma x wake mbele ya mkewe
 
Haipendezi mwanaume kufuga mivuzi na kulazimisha kun*******liwa.
Haipendezi mwanaume kufuga mikucha halafu ukute michafuuuu
Haipendezi mwanaume kutoa harufu mbaya mwilini. Kwapani, Takoni,Miguuni,
Mdomoni,Sikioni,ama hata Puani
hahaaaaaaaaaaaaa khaa!
 
haipendezi mwanaume kusifia msichana mwingine mbele ya mkewe au hata kusimulia juu ya mazuri ya ma x wake mbele ya mkewe

Huyo sio mwanaume bali ni 'boy'!. Mjinga na hajui kuwin the intelligence of his woman! How could you compare binadamu? Are they glasses of wine? Are they shoes! Fukuza huyo mvuta masigara kwanza ukute hata havai zile mfuko wa mchudhi, linakuchafua then linaanza kuku-compare, jitu nene, mfupi, mbishi, anavaa suruali za fundi nassoro, anakumpare na ex wake ili iweje? Ukute lina mandevu na lina duka ya spea za magari pamoja na vihela vyake linanuka kama fundi gereji. Khaaa!
 
 
Duh, kweli hii ni tuition ya kutosha kwa Wanaume..
 
natamani ningefanya analysis ya post zote hapa niwape majibu kuonyesha ni mambo gani yanakera zaidi
 
natamani ningefanya analysis ya post zote hapa niwape majibu kuonyesha ni mambo gani yanakera zaidi

Hebu kama ni kweli fanya, ila hapa tunayaongea tu, hata ukifanya hayo, mwanamke kama ni kichencheda, atakuacha tu, coz yeye haangalii hayo, ila ukimpata the wife material, umekula bingo kama utajitahidi katika haya yote.
 
Haipendezi Janadume umelala na mkeo huku umevaa suruali ! Mama yako huyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…