Kufanya Hivi kwa Ajili ya Mwanamke ni Uzuzu

Kufanya Hivi kwa Ajili ya Mwanamke ni Uzuzu

Kuna sehemu huwa wanaenda huchomoki muombe Mungu tu akuepushe
Huko huendewa pesa sio mtu na mtu mwenye pesa zake hawezi fanya huo uzuzu jamaa anaouzungumzia ktk uzi wake, mwenye pesa hutaka kitu kipya kila wakati hajifungi sehemu moja. Wanaofanya huu uzuzu ni wale tiamatiamaji ili wasiponyokwe/wasitemwe.
 
Hahahaha, hapa utagusa wengi. Halafu unakuta anatumia hiyo simu kufanya appointment na midume mingine.
Na ndio inakuwaga hivyo. Unamnunulia cmu yeye ana cheat kupitia cmu hiyo hiyo. Ndio maana wanaume wengine wanashindwa kuvumilia wanaua kabisa
 
1. Unamnunulia demu simu anayotumia kutuma picha zake za utupu kwa jamaa mwingine we ni zuzu.

2.Unamnunulia demu gari ambayo anampa muuza sura atumie kula nae bata. We ni zwazwa.

3. Unamsomesha demu kisha anakuja kukuona sio type yake baada ya kupata cheti chake kisha kuhamishia penzi kwa njemba ingine. We ni soro!

4.Unamjengea demu nyumba yake au ukweni kisha anakusaliti na fara asie na lolote bila hiyana. We ni kiande!

5.Unampa priority demu wako kuliko ndugu zako ili kumuomesha unamjali kisha anakusaliti na jamaa mwengine. We ni Zoba!
Umemaliza kazi boss. Umemaliza maana ya kuna masoro ..mazuzu.. majinga. Yanafanya hiv vitu sana
 
1-Awe demu au mke iyo namba moja Ataishia kuisikilizia Maredioni na mitandaoni.

3-Kama ni Mke wangu, na uchumi umekaa kisawasawa siwezi mjengea nyumba ila Nitajenga kwao ili tukiwa tunaenda kwao Nilale nilipohusika kujenga...( nahii itategemea Familia ya mwanamke, huwez Oa kwa Mama Samia alafu

4-Kuweka profile Demu/Mke wako ni kitu kizuri ili mradi nayeye anakuweka.

2-Sitegemei mke nitakayeoa ARUDI TENA KUSOMA naoa aliyemaliza kusoma ,unless Asome huku anatokea nyumban naahakikishe anabehave km Mke wamtu(hapa Nitahusika ).nahii ndo inafanya Kigezo cha Elimu kwa mwanamke kwangu hakitakua namaana .


So mtoa mada... Baadhi ya maeneo ulotaja, Nitakua Zuzu !!
Kwenye namba nne ni kawaida unless uwe player.
Namba 3 tena utajenga mkiwa na miaka si chini ya nane kwenye ndoa.
 
Umemaliza kazi boss. Umemaliza maana ya kuna masoro ..mazuzu.. majinga. Yanafanya hiv vitu sana
Mwalimu wangu wa Financial Management alikuwa anatuhusia mambo mawili, its very hard to be a man bila pesa na pia mwanamke sio ndugu yako always. Hayo yapo kichwani mwangu toka nilipoambiwa na nayaishi siwachi kuyatafakari kila kukicha.
 
Hii kweli kabisa. Eti mtu anajenga nyumba kwenye kiwanja chenye jina la demu. Dunia INA maajabu sana.
Ktk kitu hata madingi wanakataa.. ni kukunua kiwanja halaf ukaandikisha jina la demu. Hapo utakuwa umechimba shimo na kumbukia mwenyewe
 
2. usimsomeshe kama demu wako msomeshe kama unatoa msaada kwa mwanamke yeyote yule
3. kama unauwezo wa kufanya hivyo haina neno wajengee wazazi wake kama upo uhitaji wa kufanya hivyo
 
Mkuu, uzuzu mwingine ambao wanaume wenzetu walio wengi wanaufanya sana kwa hawa viumbe ni kumpa attention mwanamke kupita kiasi hadi inafikia kipindi mwanamke anamuona bonge moja la fala! [emoji23][emoji23]
Yap. Kuna kaukweli hapa. Ukimpa attention sana anajisahau na kukuona zuzu.. zuzu zuzu.
Unampa attention kias then una bale out..
 
Mwalimu wangu wa Financial Management alikuwa anatuhusia mambo mawili, its very hard to be a man bila pesa na pia mwanamke sio ndugu yako always. Hayo yapo kichwani mwangu toka nilipoambiwa na nayaishi siwachi kuyatafakari kila kukicha.
He said the truth. Pure truth
 
Back
Top Bottom