Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Sasa ukishamnunulia si ndio ishakuwa ya kwake ama sijaelewa Hajar mie? 😜[emoji23][emoji23][emoji23] ila asije akanigeukia maaana huwa hawachelewii dada Hajar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ukishamnunulia si ndio ishakuwa ya kwake ama sijaelewa Hajar mie? 😜[emoji23][emoji23][emoji23] ila asije akanigeukia maaana huwa hawachelewii dada Hajar
[emoji549][emoji549] Ramani ya kasri yetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaaaaaaa.Siwezi dada akisimamia hakuna kinachoharibika
Kishingo upande nimempa hati milkiSasa ukishamnunulia si ndio ishakuwa ya kwake ama sijaelewa Hajar mie? [emoji12]
Huko huendewa pesa sio mtu na mtu mwenye pesa zake hawezi fanya huo uzuzu jamaa anaouzungumzia ktk uzi wake, mwenye pesa hutaka kitu kipya kila wakati hajifungi sehemu moja. Wanaofanya huu uzuzu ni wale tiamatiamaji ili wasiponyokwe/wasitemwe.Kuna sehemu huwa wanaenda huchomoki muombe Mungu tu akuepushe
Yap hii ni tabia ya kike. Mwanaume kila saa unapost onlineKupigapiga nae selfie na kuweka kwenye mitandao
Kuna mwenzio alaniambia furaha yake nimjengee nyumba. Nimnunulie na vyombo vya ndani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyo wa kunijengea nyumba kama yupo
Na ndio inakuwaga hivyo. Unamnunulia cmu yeye ana cheat kupitia cmu hiyo hiyo. Ndio maana wanaume wengine wanashindwa kuvumilia wanaua kabisaHahahaha, hapa utagusa wengi. Halafu unakuta anatumia hiyo simu kufanya appointment na midume mingine.
Umemaliza kazi boss. Umemaliza maana ya kuna masoro ..mazuzu.. majinga. Yanafanya hiv vitu sana1. Unamnunulia demu simu anayotumia kutuma picha zake za utupu kwa jamaa mwingine we ni zuzu.
2.Unamnunulia demu gari ambayo anampa muuza sura atumie kula nae bata. We ni zwazwa.
3. Unamsomesha demu kisha anakuja kukuona sio type yake baada ya kupata cheti chake kisha kuhamishia penzi kwa njemba ingine. We ni soro!
4.Unamjengea demu nyumba yake au ukweni kisha anakusaliti na fara asie na lolote bila hiyana. We ni kiande!
5.Unampa priority demu wako kuliko ndugu zako ili kumuomesha unamjali kisha anakusaliti na jamaa mwengine. We ni Zoba!
Kwenye namba nne ni kawaida unless uwe player.1-Awe demu au mke iyo namba moja Ataishia kuisikilizia Maredioni na mitandaoni.
3-Kama ni Mke wangu, na uchumi umekaa kisawasawa siwezi mjengea nyumba ila Nitajenga kwao ili tukiwa tunaenda kwao Nilale nilipohusika kujenga...( nahii itategemea Familia ya mwanamke, huwez Oa kwa Mama Samia alafu
4-Kuweka profile Demu/Mke wako ni kitu kizuri ili mradi nayeye anakuweka.
2-Sitegemei mke nitakayeoa ARUDI TENA KUSOMA naoa aliyemaliza kusoma ,unless Asome huku anatokea nyumban naahakikishe anabehave km Mke wamtu(hapa Nitahusika ).nahii ndo inafanya Kigezo cha Elimu kwa mwanamke kwangu hakitakua namaana .
So mtoa mada... Baadhi ya maeneo ulotaja, Nitakua Zuzu !!
Mwalimu wangu wa Financial Management alikuwa anatuhusia mambo mawili, its very hard to be a man bila pesa na pia mwanamke sio ndugu yako always. Hayo yapo kichwani mwangu toka nilipoambiwa na nayaishi siwachi kuyatafakari kila kukicha.Umemaliza kazi boss. Umemaliza maana ya kuna masoro ..mazuzu.. majinga. Yanafanya hiv vitu sana
Ktk kitu hata madingi wanakataa.. ni kukunua kiwanja halaf ukaandikisha jina la demu. Hapo utakuwa umechimba shimo na kumbukia mwenyeweHii kweli kabisa. Eti mtu anajenga nyumba kwenye kiwanja chenye jina la demu. Dunia INA maajabu sana.
Nimefika zuzu mkuu tanzaniaMazuzu mkuje huku
Hapo kaka hamnaga formula. Watu hawataki kutekwa ila huwa inakuja automatic yenyewe unajikuta umenasa kwenye ulimboKutekwa kimapenzi na kupigwa limbwata ni chanzo kikubwa cha uzuzu.
Yap. Kuna kaukweli hapa. Ukimpa attention sana anajisahau na kukuona zuzu.. zuzu zuzu.Mkuu, uzuzu mwingine ambao wanaume wenzetu walio wengi wanaufanya sana kwa hawa viumbe ni kumpa attention mwanamke kupita kiasi hadi inafikia kipindi mwanamke anamuona bonge moja la fala! [emoji23][emoji23]
He said the truth. Pure truthMwalimu wangu wa Financial Management alikuwa anatuhusia mambo mawili, its very hard to be a man bila pesa na pia mwanamke sio ndugu yako always. Hayo yapo kichwani mwangu toka nilipoambiwa na nayaishi siwachi kuyatafakari kila kukicha.