Kufanya kazi shule za private za kanisa yataka moyo

Kufanya kazi shule za private za kanisa yataka moyo

Sijaona ubara wa shule za kanisa huwenda una unataka kuleta ushawishi wa kipumbavu usio kuwa na kichwa wala miguu
 
Ukiajiriwa, taraji siku moja utafutwa kazi...

Ukitaka kuepuka hiyo kadhia, basi jiajiri mwenyewe...
 
Hizo shule za seminary zinataka walimu creative, sio experience peke yake, huwa wanapima ubora wa mwalimu waone anaweza vipi kukuza ubongo wa wanafunzi wao, ndio maana huwa zinafaulisha zaidi.

Hiyo experience unaweza ipeleka shule za serikali, huko wataonekana ndio mafundi haswa.
 
Yawezekana wameshindwa tu kuendana na mahitaji ya uongozi mpya.
 
Kama walivyosema wengine,

Ubora wa mwalimu unapimwa Kwa uwezo wa kufanya wanafunzi waelewe, hivyo wanafunzi ndio wataulizwa kuwa mwalimu anajua kufundisha au hajui. Wakimaanisha wanamuelewa au hawamuelewi.

Kisha wanaangalia matokeo ya mwisho ya kitaifa ikiwa ni kweli wanamuelewa au hawamuelewi. Kama amefelisha huyo sio mwalimu Bora.

Mwalimu Bora akifelisha zaidi ya mara mbili huacha kazi mwenyewe wala hasubiri kufukuzwa
 
Shule yangu hiyo. Nyeguna ilikuwa shule ya kati ya kanisa. Nilikuwa huko 1962-1965. Naikumbuka saana.
Duh kumbe ni kongwe! Nyegina, Makoko, Kowak, Mwembeni, Songwe, Musoma Tech na Ikizu zinanikumbusha Mara
 
Wewe ndo uliyefukuzwa kaz acha kuzuga, jipange na mambo mengine, vilio vyako humu havitakusaidia.
 
Shule yangu hiyo. Nyeguna ilikuwa shule ya kati ya kanisa. Nilikuwa huko 1962-1965. Naikumbuka saana.
Mkuu punguza Chai, ukirejea vyanzo vya taarifa shule hiyo NYEGINA imeanzishw mwishoni mwa miaka ya 1980s sasa hiyo unayosema 1960s labda Nyegina ya Poland
 
Hizo shule za seminary zinataka walimu creative, sio experience peke yake, huwa wanapima ubora wa mwalimu waone anaweza vipi kukuza ubongo wa wanafunzi wao, ndio maana huwa zinafaulisha zaidi.

Hiyo experience unaweza ipeleka shule za serikali, huko wataonekana ndio mafundi haswa.
Hiyo sio shule ya Seminari
 
Wangeoijua mapema,hakika wangeenda serikalini,huko ndiko chaka la non-creative teachers kama shida ni wao kutofaulisha inavyotakiwa.Pole sana kwao.
 
Ndugu tatizo ya shule za private ambazo mkuu wa shule hajitambui unaweza ukawa mwalimu mzuri na unaeleweka ila shida wanafunzi hawakutaki labda unawakazia wasome au unafatilia somo lako walikazanie hapo utatoka na amini ndugu shule yoyote ya private wana amini kila anachosema mwanafunzi ni sahihi hata Kama ni ujinga, mbali na hilo hata walimu wenyewe wanafanyiana fitina wao kwa wao. Mfano mimi mwaka jana nimefundisha CHUMVI WAZAZI SECONDARY SCHOOL iliyopo wilaya ya UVINZA-KIGOMA, unakuta nafundisha alafu nikitoka mtaaluma anaenda kuwambia mkuu akiwauliza kuhusu huyu mwalimu semeni haeleweki kisa tuna share Chemistry eti ninaweza kumfanya apoteze pesa ya kuandaa practical necta, kingine nafundisha hesabu alafu mwalimu mwenzangu anawambia watoto mwalim haeleweki swali likikushinda niletee Mimi, Sasa kwa mazingira hayo ya kupangwa watoto kuwa hueleweki unafikiri Kuna kazi, Cha msingi hapo huyo asizihukumu shule za kanisa bali hapo inabidi walimu waulizwe labda wametolewa kwa fitina . Na nataka niwambie mimi ni mwislamu mapadri wanapenda watu wanaojituma kwelikweli hawapendi uswahili.
Kama walivyosema wengine,

Ubora wa mwalimu unapimwa Kwa uwezo wa kufanya wanafunzi waelewe, hivyo wanafunzi ndio wataulizwa kuwa mwalimu anajua kufundisha au hajui. Wakimaanisha wanamuelewa au hawamuelewi.

Kisha wanaangalia matokeo ya mwisho ya kitaifa ikiwa ni kweli wanamuelewa au hawamuelewi. Kama amefelisha huyo sio mwalimu Bora.

Mwalimu Bora akifelisha zaidi ya mara mbili huacha kazi mwenyewe wala hasubiri kufukuzwa
 
Heeh. Hiyo shule mim nimesoma hpo nimemalz 2019 an uongoz mzul ulikuw wa Padre Kazeli huyo mpya ni mbinafsi sana na shule imekuwa mbovu baada ya mwl.luzangi kuondoka an hio shule imekaa ki Undugu ndugu tuh. Wanafukuz walim bora wanaleta ndug zao
 
Ndugu zangu habari, sijui ni kwa nini lakini naomba niwape huu uzi kwa ufupi.

Ni muda mfupi nimetoka kuongea na mmoja ya walimu wakongwe wa Nyegina Secondary, amenipa taarifa iliyobadili hisia zangu ghafla.

Iko hiviii, walimu 5 wameachishwa kazi. Sababu ni kwamba hawa walimu hawajui kufundisha... Hivi inawezekana leo mwalimu aliyefundisha kuanzia mwaka 1997 hajui kufundisha?

Naomba niishie hapa lakini uongozi mpya wa ndugu Padre Luvakubandi naomba utafakari upya suala hili na uwape walimu hapo mikataba waendelee kufundisha Nyegina.

Na hapo hapo uongozi eti unawataka wakabidhi nyumba kabla ya tarehe 4 mwezi January.
Nimekusikia weka na namba tushauriane zaidi.
 
Wewe mtoa mada Ni Kati yao.
Sasa hivi najua unajiuliza utapata wapi puchi za bure za wanafunzi, utapata wapi nyumba ya kupanga. Pole Sana ndugu. Wengine tulivunjiwa nyumba Kimara bila taarifa lkn tunadunda. Wewe umepewa mwezi mzima wa kutafuta nyumba.
 
Back
Top Bottom