Kufanya kazi ya Ualimu ni hatari sana kwa maisha yako

Kiboko ya walimu na wakufunzi ni huyu bwana mpwayungu village [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa huyu ndiomaana hawapendi walimu na ualimu sabab kama hizo yaan.

Ualimu ni mzigo, unapambana na vichwa zaidi ya 100 kuvielewesha mpka vinaelewa lkn malipo ni Upuuzi tu.....

Walimu, madactari, wanajeshi&walinzi, hawa wawekwe kama Vitengo maalumu ktk serikali maana hawa ndio msingi wa Taifa
 
Hayo maneno tu
 
Hivi kwanini walimu walio wengi maisha yetu hayatofautiani sana?
Ukweli mtoa mada kapiga mlemle!
 
Acha unaa basi!
 
Hivi ualimu nao ni kazi?[emoji16][emoji16]ninavyojua mimi ni huduma tu, na ndiyo maana.wahudumu ni wengi sawa na wahudumiwao
 
Piga kazi acha Longo longo😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…