Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Team;
Salaam!
Sheria ya mitandao ya kijamii na Sheria zingine zinasemaje kuhusu kura za maoni kwa wamaotajwa kugombea URAIS mwaka 2025?
Kama itakuwa kitu kinachoruhusiwa kufanyika basi ningeomba
Tuone nani kati yao atapigiwa kura nyingi za ndiyo.
Kidumu CCM!
Salaam!
Sheria ya mitandao ya kijamii na Sheria zingine zinasemaje kuhusu kura za maoni kwa wamaotajwa kugombea URAIS mwaka 2025?
Kama itakuwa kitu kinachoruhusiwa kufanyika basi ningeomba
- Hashim Rungwe Spunda;
- Zitto Zuberi Kabwe
- Tundu Antipas Lissu
- Dkt Samia Suluhu Hassan
- Ibrahim Haruna Lipumba
Tuone nani kati yao atapigiwa kura nyingi za ndiyo.
Kidumu CCM!