Kufanya mapenzi kinyume na maumbile

Kufanya mapenzi kinyume na maumbile

Binafsi siafiki mambo ya mapenzi ya jinsia moja lakini huwa napinga sababu zinazotolewa na wenye kulaani vitendo hivyo. Naamini "Nothing is good or bad but your thinking make it so".

Wengi wetu tumekuwa kukilaani utandawazi bila kujua tafsiri ya utandawazi. Kuwa muumini wa dini za kigeni tayari ni utandawazi. Na kuwa muumini wa dini fulani kuna kuathiri na kukufanya kufuata utamaduni wa jamii ya watu ambako dini ilianzia.

Kuna unafiki mwingi kwenye kujadili suala hili kwani wengi wanatumia "hisia" na si tafiti. Kuna utafiti juu ya unyanyasaji wa kina mama ulifanyika, takwimu zilionyesha % ya wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ipo juu zaidi Zanzibar na hasa Pemba kuliko sehemu zingine za jamhuri ya muungano.

Madhara yanayopatikana kwa kufanya hivi ni madhara binafsi na hayaiumizi jamii kwa ujumla wake. Mfano wale walioruhusu dawa "feki" za ARV kutumiwa na wahitaji na mtu msengerema au bash.. yupi wa kuuwawa.

Kila Mara nasema tumeaminishwa Kuna kundi la watu "watakatifu" na wengine ni wadhambi. Jambo hili si sahihi kwani wahenga walisema "hiari yashinda utumwa". Kama mtu na mumewe au na kimada wake wamehiari kufanya sisi ni nani hadi tuwazuie. Maana katika mizani ya yule alie juu hakuna DHAMBI kubwa wala ndogo.
Japo hakuna kubwa wala ndogo. Ila mapenzi kinyume na maumbile ni laana. Na ina madhara. Mbona bange na madawa yanazuiwa na mtu ameridhia kutumia?
 
Pamoja na lawama zote ulizotoa bado unayaaita '' mapenzi ya jinsia moja''.

Kosa namba moja ni kwa wewe kuona kuwa kumwingilia mwanamke kwenye sehemu ya haja kubwa ni mapenzi, au kuingiliana na mwanaume mwenzako pia ni mapenzi.
Hili neno ''mapenzi'' na ''tendo la ndoa'' mnalitumia hata pasipofaa.

Bandiko lako lina hoja inayojadilika tatizo tu tunaishi katika kipindi ambacho dunia imebeba ujumbe mkuu wa ''kuheshimu haki, uhuru na maamuzi ya wengine kama hayakuathiri kwa namna yoyote''- human rights
 
Pamoja na lawama zote ulizotoa bado unayaaita '' mapenzi ya jinsia moja''.

Kosa namba moja ni kwa wewe kuona kuwa kumwingilia mwanamke kwenye sehemu ya haja kubwa ni mapenzi, au kuingiliana na mwanaume mwenzako pia ni mapenzi.
Hili neno ''mapenzi'' na ''tendo la ndoa'' mnalitumia hata pasipofaa.

Bandiko lako lina hoja inayojadilika tatizo tu tunaishi katika kipindi ambacho dunia imebeba ujumbe mkuu wa ''kuheshimu haki, uhuru na maamuzi ya wengine kama hayakuathiri kwa namna yoyote''- human rights
Unazani madawa ya kulevya hayaruhusiwi kwanini? Mapenzi kinyume na maumbile utapataje mtoto? Kama huwezi kupata huoni unanyima right za watu kuishi kwakuwa lazima watu wazae ili uhai uwepo? Kwanini hawaoni hilo hao watu wa human right? kufanya mapenzi ni tafsida.... fikiria chukua hatua.
 
Galacha Maestro,

Nahisi tupo upande mmoja juu ya ukakasi wa ''anal sex'', ''lesbianism'' na ''gays''. Nani muamuzi wa kitu sahihi katika ulimwengu wa leo?
Bahati mbaya sana kuzaa ama kupata watoto sio miongoni mwa haki za kibinanamu, unaweza kusoma kwa wakati wako ili ufahamu zaidi.
Serikali yenye mkono mrefu imejaribu kuzuia hili lakini imeshindwa, kwa sasa watu wenye tabia hizi wapo duniani kote, katika mataifa yote. Sad enough we have religious leaders who are in the same bucket.

Ni haki ya kila mmoja kuwa na maoni yake lakini hakuna mwenye haki ya kuwaamulia wengine nini cha kufanya ama kutokufanya ili mradi tu kile wanachofanya hakikuathiri.

Kufanya mapenzi inaweza kuwa tafsida katika lugha yetu lakini huoni kuwa kama kitendo cha kumuingilia mwanamke kwenye eneo la haja kubwa ni kufanya mapenzi sasa tatizo lipo wapi kama kinachofanyika ni mapenzi?

I am totally against any form of same sex marriage, anal sex e.t.c however it is not my job to tell people what is right and what is wrong, i dont have that authority.



Unazani madawa ya kulevya hayaruhusiwi kwanini? Mapenzi kinyume na maumbile utapataje mtoto? Kama huwezi kupata huoni unanyima right za watu kuishi kwakuwa lazima watu wazae ili uhai uwepo? Kwanini hawaoni hilo hao watu wa human right? kufanya mapenzi ni tafsida.... fikiria chukua hatua.
 
Nakushukulu dada yangu mpendwa kwa kuliona, hili ni janga kubwa sana ambalo nalichukia sana,nalikemea kwa nguvu zote. mtu ambae anafanya vitendo hivi au kufanya mapenzi kinyume na maumbile akome tena akome kabisa kufanya kitendo hicho mara moja. kama mtu akibainika anajihusisha na hii kitu 07164, hatua kali zitachukuliwa zidi yake."HAPA KAZI TU".
 
Galacha Maestro,

Nahisi tupo upande mmoja juu ya ukakasi wa ''anal sex'', ''lesbianism'' na ''gays''. Nani muamuzi wa kitu sahihi katika ulimwengu wa leo?
Bahati mbaya sana kuzaa ama kupata watoto sio miongoni mwa haki za kibinanamu, unaweza kusoma kwa wakati wako ili ufahamu zaidi.
Serikali yenye mkono mrefu imejaribu kuzuia hili lakini imeshindwa, kwa sasa watu wenye tabia hizi wapo duniani kote, katika mataifa yote. Sad enough we have religious leaders who are in the same bucket.

Ni haki ya kila mmoja kuwa na maoni yake lakini hakuna mwenye haki ya kuwaamulia wengine nini cha kufanya ama kutokufanya ili mradi tu kile wanachofanya hakikuathiri.

Kufanya mapenzi inaweza kuwa tafsida katika lugha yetu lakini huoni kuwa kama kitendo cha kumuingilia mwanamke kwenye eneo la haja kubwa ni kufanya mapenzi sasa tatizo lipo wapi kama kinachofanyika ni mapenzi?

I am totally against any form of same sex marriage, anal sex e.t.c however it is not my job to tell people what is right and what is wrong, i dont have that authority.
Hakuna wa kuweza kuwazuia kwakuwa ni makubaliano baiba ya pande mbili. Na hizo human right zimetungwa na binadamu. Hata kama hawaandika kuzaa ila ni right ya mtu kuzaa sio lazima waandike hao watuu. Kwangu ni jambo baya nala kukemea sanaa. Ulitaka niweke neno harsh kwa mtandao while people understood the word. That is euphemism nani mapenzi kwakuwa wanaofanya wanapendana na wanalipenda hilo tendo kama wao.
 
Nakushukulu dada yangu mpendwa kwa kuliona, hili ni janga kubwa sana ambalo nalichukia sana,nalikemea kwa nguvu zote. mtu ambae anafanya vitendo hivi au kufanya mapenzi kinyume na maumbile akome tena akome kabisa kufanya kitendo hicho mara moja. kama mtu akibainika anajihusisha na hii kitu 07164, hatua kali zitachukuliwa zidi yake."HAPA KAZI TU".
Asante kwa kuona hilooo.
 
Imekua ni jambo la kawaida na imeshamiri kwa vijana wengi sana. Kujiingiza kwa kasi sana katika mahusiano kinyume na maumbile. Ninapo sema mapenzi kinyume na maumbile nina maanisha mwanaume kumwingilia mwanamke nyuma au kwenda mbali zaidi hata kumwingilia mwanaume mwenzie. Unaweza kuonekana mshamba au hina.mapenzi mpaka ufanye tendo hilo.

Mahusiano ya aina hii ni kumchukiza Muumba na pia ina madhara kiafya.

1. Kushindwa kuzaa kwa kawaida na kupelekea mwanamke kufanyiwa operation. Unapofanya mapenzi kinyume na maumbile hasa wale walio kubuhu. Wanaona aibu kuzaa kwa njia za kawaida kwa kuogopa kuharibu kwa manesi na pia kuona aibu kugundulika mchezo wao. Hivo hufanya operation kuficha aibu yao.

2. Kushindwa kusukuma mtoto wakati wa kujifungua. Mpaka wawekewe matambala kwenye njia ya haja kubwa. Na inakua fedhea na kumuaibisha mumeo kama sio muhusika wa michezo hiyo. Utaambulia matusi kwa manesi na lugha za kejeli. Na dhihaka sio mchezo mzuri.

3. Kupigwa bomba kwa wanaume. Unapomwingia mwanamke au mwanaume kinyume na maumbile . Ule uchafu huwa unaingia na kuziba mirija ya uzaz wa mwanaume. Itakulazimu utolewe kwa bomba. Ni maumivu makali sanaaa. Kwakuwa itabidi bomba iingizwe kuflash. Na pia kuna kejeli za manesi na aibu.

4. Mapenzi kinyume na maumbile. Husababisha ukimwi kirahisi. Njia ya haja kubwa sio salama kiafya. Ni njia laini sanaaa na nyembamba. Kondom ni rahisi kupasuka na kupata michubuko kirahisi sanaaa.

5. Kudharaulika na jamii. Haya ni mapenzi ya siri sanaa. Wengi wanaojihusisha huwa wanaficha. Pale wanajulikana huona aibu kubwa sanaa. Ila utaficha aibu yako kwa wanadamu ila huwezi ficha kwa Mungu.

Kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni kumkufuru Muumba. Ni laana na aibi kubwa sana. Ina madhara kiafya na pia ni dhambi kubwa sanaa.

Chanzo chake

1. Ni tamaa ya kujaribu kila kitu. Binadamu wanapenda jaribu kila kitu mwisho wanamkosea Muumba wao.

2. Tamaa ya pesa na maisha ambayo sio yao. Wanaume wengi huwa mashoga kwa tamaa. Mwanaume unatakiwa kupambana ili upate chako ukilemaa utakua choko. Wanawake nao wengi wao ni tamaa ya pesa wanajikuta niwa tumwa w ngono.

3. Kumsahau Muumba na kusahau hii dunia tunapita. Ipo siku watalia na kusaga meno.

4. Utandawazi na kuiga mambo ya wazungu. Mwisho wa siku wanaingia kubaya....

Hiki kizazi ni kibaya kuliko sodoma na gomora.
Mkuu mtu kugongwa ni hiyari yake. Pili pili usiyoila inakuwashia nini mkuu. Baki na maadili yako mkuu. Usipende sana kujadili starehe za wenzako mkuu. Acha kabisa. Na tena wewe unazo starehe unazozifanya na zinakera sana watu. Kama ni kosa tungeni Sheria. Wadada wengine hawaridhiki hadi uingie huko mahala. Na kama mtu ameamua kugongwa basi ni yeye anayeona raha ndani ya moyo wake. Acha kabisa mambo ya kujadili starehe za watu mkuu.
 
Mkuu mtu kugongwa ni hiyari yake. Pili pili usiyoila inakuwashia nini mkuu. Baki na maadili yako mkuu. Usipende sana kujadili starehe za wenzako mkuu. Acha kabisa. Na tena wewe unazo starehe unazozifanya na zinakera sana watu. Kama ni kosa tungeni Sheria. Wadada wengine hawaridhiki hadi uingie huko mahala. Na kama mtu ameamua kugongwa basi ni yeye anayeona raha ndani ya moyo wake. Acha kabisa mambo ya kujadili starehe za watu mkuu.
Samahani kwa kukuingilia kwenye starehe zako. Ila kama ulivosema kila mtu na,starehe zake ila kumbuka kila mtu ana mawazo yake. Everyman is entitled to his\ her own opinion. Sija kuzuia. Ni mawazo yangu.
 
Mkuu mtu kugongwa ni hiyari yake. Pili pili usiyoila inakuwashia nini mkuu. Baki na maadili yako mkuu. Usipende sana kujadili starehe za wenzako mkuu. Acha kabisa. Na tena wewe unazo starehe unazozifanya na zinakera sana watu. Kama ni kosa tungeni Sheria. Wadada wengine hawaridhiki hadi uingie huko mahala. Na kama mtu ameamua kugongwa basi ni yeye anayeona raha ndani ya moyo wake. Acha kabisa mambo ya kujadili starehe za watu mkuu.
AISEE,,LAKINI KUMBUKA kuna umma wa NABII nani sijui,,mungu aliungamiza sababu ya uho uchafu waliokuwa wanaufanya wa (Liwaty)_ kwaiyo mungu hapendi aisee,,,,,,
 
Back
Top Bottom