Kufanya mapenzi kunahusiana vipi na kutokupona kwa kidonda?

Kuna Siku Niliumia Mguuni Siku hiyo nikataka kula mzigo Demu akaniambia hicho kidonda kitachelewa kupona,nikamwambia acha kichelewa nikala mzigo fresh na kilipona tu fasta.

Watu wanadanganyana sana vijiweni na saluni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…