Kufanya mapenzi, kunyonyesha mtoto na kubemenda, Msaada tafadhali

HAZOLE

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2011
Posts
1,551
Reaction score
713
Habari wana jf,
ninaswali kwamba je, mama ambaye ananyonyesha mtoto (labda miezi 3, 5, mpaka 8) akiwa anafanya mapenzi na mumewe kipindi hiki anam bemenda mtoto nikimaanisha mtoto hatakuwa anakua vizuri?? Maana nimesikia kuwa kufanya mapenzi kunachafua maziwa ya mama.
Naombeni ujuzi wenu katika hili.

Karibuni.
 
Hakuna ukweli wowote juu ya hili, chamsingi kuwa msafi wakati wote na kuwa mwaminifu kwenye ndoa.
 
Hakuna ukweli wowote juu ya hili, chamsingi kuwa msafi wakati wote na kuwa mwaminifu kwenye ndoa.
 
ahsante mdau kwa mchango wako
 
Mama anashauriwa anyonyeshe hadi mwezi mmoja kabla ya tarehe ya matazamio kujifungua. Kufanya tendo la kujamiaana hakuna kikomo. Kwa kawaida mama anapokuwa mjamzito ladha ya maziwa hubadilika kwa sababu ya ongezeko la Sodium (Na) kwenye maziwa. Ubora na thamani ya ubaki vilevile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…