HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 713
Habari wana jf,
ninaswali kwamba je, mama ambaye ananyonyesha mtoto (labda miezi 3, 5, mpaka 8) akiwa anafanya mapenzi na mumewe kipindi hiki anam bemenda mtoto nikimaanisha mtoto hatakuwa anakua vizuri?? Maana nimesikia kuwa kufanya mapenzi kunachafua maziwa ya mama.
Naombeni ujuzi wenu katika hili.
Karibuni.
ninaswali kwamba je, mama ambaye ananyonyesha mtoto (labda miezi 3, 5, mpaka 8) akiwa anafanya mapenzi na mumewe kipindi hiki anam bemenda mtoto nikimaanisha mtoto hatakuwa anakua vizuri?? Maana nimesikia kuwa kufanya mapenzi kunachafua maziwa ya mama.
Naombeni ujuzi wenu katika hili.
Karibuni.