Kufanya mapenzi kwa simu

Kufanya mapenzi kwa simu

Inaonesha unayajua


Hujawahi kuambiwa kuwa mimi ni babu yao wote ukiwemo na wewe?


Punguza kujitenga na wenzio ili usiachwe nyuma katika mambo ya data....ila siyo lazima uwe mtumiaji...

Changanya na zako..lol!!
 
wamagharbi wanatupeleka taratiiibu mpaka mwisho tutakuwa wasagaji na mashoga...........
 
sex thuuu phone ipo

inafanyika mara chache sana as emergence pindi mmoja wenu ypo mbali.
 
anatabia za kilesbian mchunguze kwa kutumia hints zifuatazo1;ukiongea nae kwenye cm ana legeza sauti
2; anajibebisha katika mazingira ya kawaida anajitia mtoto mtoto
3;akija kwako tendo la kwanza kufanya ni kuvua nguo
4;anapenda kulala na wanawake wenzie(kama huyo alikataa kulala mwenyewe)
5;usijaribu kumruhusu hata akuhug coz they take advantage of the situation KUMBUKA MARAFIKI SI LAZIMA KAMA TUNAVYODHANI WENGINE ULETA MATATIZO KATIKA MAISHA YETU
 
Hakika! kwa mimi ni kero, cz amenisababishia nasinzia kazini
Pole sana huyo ni Msagaji (NMC) kaa mbali naye
Ili leo ulale vizuri mtaarifu mapema unakasafiri au Hubby wako atakuwepo aangale Ustaarabu mwingine
Kwani yeye na jamaa yake watakukera tena na mapenzi yao ya kwenye simu ( ni ugonjwa)
 
Kuna raha gani ya kufanya mapenz kwa njia ya simu, iwe kwa kuongea au kwa kutumiana msgs.... coz sielewi... Jana nilipata mgeni, ni rafiki yangu wa Kike.. bahati mbaya alikataa kulala chumba cha wageni kwa kigezo kuwa anaogopa kulala peke yake.... Jamani usiku sijalala...! Mwenzangu anasex na boyfrnd wake kwa simu hadi nikawa simuelewi... na kabisa anaonesha vitendo... nikahama chumba kumpisha cz akiambiwa vua nytdress ye anavua kweli... Dah!
Mambo ya digital hayo! Utashangaa mengi
 
Hukumsoma tu, alikuwa anakualika mjumuike(lesbo at weki). Tangu lini mtu mzima akalale kwa rafikiye, afu aogope kulala peke yake? Hapo hapo simu sex hazarani? Uso una haya.
 
Hukumsoma tu, alikuwa anakualika mjumuike(lesbo at weki). Tangu lini mtu mzima akalale kwa rafikiye, afu aogope kulala peke yake? Hapo hapo simu sex hazarani? Uso una haya.

Kama kweli vileeee...
 
Pole sana huyo ni Msagaji (NMC) kaa mbali naye
Ili leo ulale vizuri mtaarifu mapema unakasafiri au Hubby wako atakuwepo aangale Ustaarabu mwingine
Kwani yeye na jamaa yake watakukera tena na mapenzi yao ya kwenye simu ( ni ugonjwa)
Alikuja kunitembelea jana tu, ataondoka leo
 
Hukumsoma tu, alikuwa anakualika mjumuike(lesbo at weki). Tangu lini mtu mzima akalale kwa rafikiye, afu aogope kulala peke yake? Hapo hapo simu sex hazarani? Uso una haya.

Genius and GT . Kongosho
 
Last edited by a moderator:
Hukumsoma tu, alikuwa anakualika mjumuike(lesbo at weki). Tangu lini mtu mzima akalale kwa rafikiye, afu aogope kulala peke yake? Hapo hapo simu sex hazarani? Uso una haya.

i don't think so
 
kuna raha gani ya kufanya mapenz kwa njia ya simu, iwe kwa kuongea au kwa kutumiana msgs.... Coz sielewi... Jana nilipata mgeni, ni rafiki yangu wa kike.. Bahati mbaya alikataa kulala chumba cha wageni kwa kigezo kuwa anaogopa kulala peke yake.... Jamani usiku sijalala...! Mwenzangu anasex na boyfrnd wake kwa simu hadi nikawa simuelewi... Na kabisa anaonesha vitendo... Nikahama chumba kumpisha cz akiambiwa vua nytdress ye anavua kweli... Dah!

ulishindwa vumilia? Naona uliamua kutoka nduki. Pole kwa maswahibu yalokukuta nadhani leo usingizi wakusumbua sana. Pole once again
 
Alikuja kunitembelea jana tu, ataondoka leo
Haya km kweli Kazi njema
lkn Take care
Huyu haondoki leo ndio kafika usijeshangaa akakutamani
Mwaana kuna Mabinti wameumbika
avatar196604_2.gif
hata wakawatamanisha wenzao (Lesbian)
kesho tatuambia
 
Back
Top Bottom