miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Haaaaa haaaaaa haaaaaa...... miss chagga thanx bhana... umenipunguzia usingizi
karibu sana mamy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaa haaaaaa haaaaaa...... miss chagga thanx bhana... umenipunguzia usingizi
Sikuwahi kushuhudia
Yani nlikuwa na hasira ila umenifanya nicheke. Umetisha shost!
Inaonesha unayajua
Pole sana huyo ni Msagaji (NMC) kaa mbali nayeHakika! kwa mimi ni kero, cz amenisababishia nasinzia kazini
Mambo ya digital hayo! Utashangaa mengiKuna raha gani ya kufanya mapenz kwa njia ya simu, iwe kwa kuongea au kwa kutumiana msgs.... coz sielewi... Jana nilipata mgeni, ni rafiki yangu wa Kike.. bahati mbaya alikataa kulala chumba cha wageni kwa kigezo kuwa anaogopa kulala peke yake.... Jamani usiku sijalala...! Mwenzangu anasex na boyfrnd wake kwa simu hadi nikawa simuelewi... na kabisa anaonesha vitendo... nikahama chumba kumpisha cz akiambiwa vua nytdress ye anavua kweli... Dah!
Huo ni ugonjwa mpya unaitwa TELESEX MALAD
Lakini kuna raha gani?
Ina maana angewagegeda wote kwa phone.?
Hukumsoma tu, alikuwa anakualika mjumuike(lesbo at weki). Tangu lini mtu mzima akalale kwa rafikiye, afu aogope kulala peke yake? Hapo hapo simu sex hazarani? Uso una haya.
Alikuja kunitembelea jana tu, ataondoka leoPole sana huyo ni Msagaji (NMC) kaa mbali naye
Ili leo ulale vizuri mtaarifu mapema unakasafiri au Hubby wako atakuwepo aangale Ustaarabu mwingine
Kwani yeye na jamaa yake watakukera tena na mapenzi yao ya kwenye simu ( ni ugonjwa)
kuna raha gani ya kufanya mapenz kwa njia ya simu, iwe kwa kuongea au kwa kutumiana msgs.... Coz sielewi... Jana nilipata mgeni, ni rafiki yangu wa kike.. Bahati mbaya alikataa kulala chumba cha wageni kwa kigezo kuwa anaogopa kulala peke yake.... Jamani usiku sijalala...! Mwenzangu anasex na boyfrnd wake kwa simu hadi nikawa simuelewi... Na kabisa anaonesha vitendo... Nikahama chumba kumpisha cz akiambiwa vua nytdress ye anavua kweli... Dah!
Haaa haaaa haaa! huoni kama ingekuwa shida kwangu...! nani angenituliza?
Haya km kweli Kazi njemaAlikuja kunitembelea jana tu, ataondoka leo