Kufanya mapenzi kwa simu

Kufanya mapenzi kwa simu

Shauri yako kama unaona sifa kutojua! !!!!

Kwani ibada kuwa nisipoifanya nitaingia motoni?
Kila mmoja kuna anavyovi furahia kunako game,miguno nitaisikia kwa phone na joto nitatumiwa kwa blue tooth?
Sijipaki shombo mie!!! Na import full package!!
 
Kuna raha gani ya kufanya mapenz kwa njia ya simu, iwe kwa kuongea au kwa kutumiana msgs.... coz sielewi... Jana nilipata mgeni, ni rafiki yangu wa Kike.. bahati mbaya alikataa kulala chumba cha wageni kwa kigezo kuwa anaogopa kulala peke yake.... Jamani usiku sijalala...! Mwenzangu anasex na boyfrnd wake kwa simu hadi nikawa simuelewi... na kabisa anaonesha vitendo... nikahama chumba kumpisha cz akiambiwa vua nytdress ye anavua kweli... Dah!

wewe bado mkulima utajuaje mambo hizi? mimi nnamwaka mmoja nipo mbali na gf wangu lakini najiona kama nipo nae coz kwa njia hii inanisaidia sana tena kwa kiwango na speed.
kama unataka kufundishwa mapenzi haya ongea vizuri upewe somo
 
Kuna raha gani ya kufanya mapenz kwa njia ya simu, iwe kwa kuongea au kwa kutumiana msgs.... coz sielewi... Jana nilipata mgeni, ni rafiki yangu wa Kike.. bahati mbaya alikataa kulala chumba cha wageni kwa kigezo kuwa anaogopa kulala peke yake.... Jamani usiku sijalala...! Mwenzangu anasex na boyfrnd wake kwa simu hadi nikawa simuelewi... na kabisa anaonesha vitendo... nikahama chumba kumpisha cz akiambiwa vua nytdress ye anavua kweli... Dah!

Mtimue huyo hana issue!
 
Kwani ibada kuwa nisipoifanya nitaingia motoni?
Kila mmoja kuna anavyovi furahia kunako game,miguno nitaisikia kwa phone na joto nitatumiwa kwa blue tooth?
Sijipaki shombo mie!!! Na import full package!!


Huko kwenu hamna mkaa,gesi wala umeme? ??!!!
Washa jiko then piga simu huku unaota moto utapata joto na miguno!!!!!
 
Hahhhahhhahhha hana aibu mbele yakoo makubwaaa
 
Ina maana Price hujawahi kusikia haya makitu..? Mbona yamekuwa common sana..? Imefikia wakati hata usiemfikiria na mwenye muonekano wa innocent & naive anafanya hii kitu inayoitwa fon sex.. Na mwisho wa siku wahusika wana-cum wote.. Ukiangalia kiafya haina madhara vile kutegemea hw u both play with ur vitendea kazi.. Inasaidia kupunguza hamu kwa kiwango fulani Price.. Ila kama ilivyo kwa ngono huwezi kumuambia mtu afanye..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom