Kufanya mapenzi kwa simu

Kufanya mapenzi kwa simu

Mmmhhh!!!!.... huyo rafikiyo hana aibu hata chembe. ukishangaa ya Musa utaona ya firauni.
 
Oooowk vp na jana walipigiana au jamaa alikuja live????????
Leo Dada yangu Price hajarudi naona jana waliridhishana
Haka kamchezo amekaelewa baada ya simu ni vitendo
Siku mgeni akiondoka tutajulishwa,
Kamchezo ka Lesbian baada ya Phone-sex kanaepusha magonjwa mengi nasa hili gonjwa
 
Last edited by a moderator:
Tatizo sijui kutuma PM

Hebu nielekeze ili nianzie huko ...lol!!!!!!!!!!!!!!!!!

hahahahaha kwanza unapandisha mlima juu kabisa utakuta neno setting baada ya hapo kuna njia panda mbili moja kifupi chake pm ukibofya hapo mambo yote mswano kwa mujibu wa wapsite nakusubiri lol
 
hahahahaha kwanza unapandisha mlima juu kabisa utakuta neno setting baada ya hapo kuna njia panda mbili moja kifupi chake pm ukibofya hapo mambo yote mswano kwa mujibu wa wapsite nakusubiri lol

Sasa si unitumie moja ili nijue?
 
Niwe mkweli..I use to do this so called phone sex when I was First year in hostel, uzuri tulikua tunalala 4 in a room so most of the time nakua namfanya my GF akojoe there alipo but me nikawa na act like na me nafika kumbe nazuga maana ukijichafua mbele ya room mates ni noma. Now days nimekua n nimechange kabisa. I regreat the past
 
Last edited by a moderator:
Niwe mkweli..I use to do this so called phone sex when I was First year in hostel, uzuri tulikua tunalala 4 in a room so most of the time nakua namfanya my GF akojoe there alipo but me nikawa na act like na me nafika kumbe nazuga maana ukijichafua mbele ya room mates ni noma. Now days nimekua n nimechange kabisa. I regreat the past

Kwani ulifanya kosa gani mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Freemasonic, satan, shaytaan, anawazidije ujanja mpaka mnazini na majini mkisngizia simu..?? Hivi mnaposikia kwamba shaytaan ni kiumbe wa kimapepo (spirits) ambaye haonekani kwa macho mlidhani ni uongo eee...!!!???
 
Freemasonic, satan, shaytaan, anawazidije ujanja mpaka mnazini na majini mkisngizia simu..?? Hivi mnaposikia kwamba shaytaan ni kiumbe wa kimapepo (spirits) ambaye haonekani kwa macho mlidhani ni uongo eee...!!!???

Dooooh.. sasa wewe dj unapigaje taarabu disco? unaharibu hali ya hewa, nenda kwa kilanga kule.. mwee. ovyoo
 
mh huyo anajisaga na ungeendelea kulala hapo ungejiunga n ww.pole sana coz uliumizwa kiasi fulani.
 
Back
Top Bottom