Kufanya mapenzi siku 3 au 4 kabla ya period

Kufanya mapenzi siku 3 au 4 kabla ya period

Redrose20

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
213
Reaction score
35
Wakuu habar zenu natumai mko poa..naomba kueleweshwa km hii kitu inafanya kazi katika kupata mimba pindi ufanyapo mapenzi siku ya 3 au ya 4 kabla ya kupata period na ikiwa umeshaona dalili zote za kupata hedhi chuchu za maziwa kuuma,chunusi,miguu kuchoka..kuna uwezekano wa kupata mimba?period atapata tarehe20 mwez huu..mzunguko 28dayz!
 
Back
Top Bottom