Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Yani akanunue changudoa ila asipige home, makubwa hayaMbona pakupeleka hakukosikani, kuna kuwa na nyumba ndogo ya kuzugia miez miwil mitatu au hata zile huduma za kununua au akishindwa kabisa avumilie kwani asipofanya kwa miezi atapungukiwa nini?
Amuache huyo wa nyumbani afya ihimalike kati ya mzaz na mtoto
Fafanua pls mdogo mdogo kivipi,taratibu,awahi kumaliza,goli moja,apunguze mitindo au....?Mwezi anakupa tu kama kajifungua kawaida, ila ndo mdogo mdogooo bado hali haijawa shwari kivile
Wapemba kila mwaka wanazaa mbona hawana shida yoyote? Wiki mbili zinatosha sana kwa mzazi kupumzika na unakula mzigo kama kawa.Mbona pakupeleka hakukosikani, kuna kuwa na nyumba ndogo ya kuzugia miez miwil mitatu au hata zile huduma za kununua au akishindwa kabisa avumilie kwani asipofanya kwa miezi atapungukiwa nini?
Amuache huyo wa nyumbani afya ihimalike kati ya mzaz na mtoto
Eee mkuu walau vifanyio vi'missiane kidogo!Khaaaaaa 90 days zinapita hivi hivi??
Una hesabu kabisa 1 hadi 90 mmmh
Wapemba kila mwaka wanazaa mbona hawana shida yoyote? Wiki mbili zinatosha sana kwa mzazi kupumzika na unakula mzigo kama kawa.
Weeeeee kuna wamama wengine wanabana tangu tumbo likianza kuwa kubwa, afu tena ajifungue uanze mambo ya siku tisini eeh labda kama huna kiu au una michepuko yako huko unapiga ila kama ndo hapo hapo unategemea unapiga tu mdogooo mdogoEee mkuu walau vifanyio vi'missiane kidogo!
Haraka ya nini sasa nyie binaadam mtazidiwaje na kuku au ng'ombe ambao humvumilia mama mlezi mpaka atakapohitaji mwenyewe?!
Kwani unataka kulamba mkuu? Kama sabuni inatowa nyege sembuse hii kitu?Wiki mbili kuna utamu wowote kweli?
Mdogo mdogo hupigi show zile za kukata na shoka, kumkunja kunja, kumbinua hapana kiuno na mgongo bado havijarecover, pia kupiga masaa nane nayo hapana..... Muda huo ni show ya kijogoo jogooFafanua pls mdogo mdogo kivipi,taratibu,awahi kumaliza,goli moja,apunguze mitindo au....?
Ha ha ha ha ha ha haKwani unataka kulamba mkuu? Kama sabuni inatowa nyege sembuse hii kitu?
Kwani unataka kulamba mkuu? Kama sabuni inatowa nyege sembuse hii kitu?
Wewe umekariri tu, lakini kimsingi hakuna tatizo lolote.Wiki mbili kwa ashki gani hizo? Za kuku?
Ni sawa na kuogelea kwenye bwawa linalokuzidi uwezoWiki mbili kuna utamu wowote kweli?
Huyo anaebana kabla hata mimba haijafika miezi7 ni hatari sana kwake siku ya kujifungua anaweza kupata michubuko sana huko ndani kwajili ya ukavu!Weeeeee kuna wamama wengine wanabana tangu tumbo likianza kuwa kubwa, afu tena ajifungue uanze mambo ya siku tisini eeh labda kama huna kiu au una michepuko yako huko unapiga ila kama ndo hapo hapo unategemea unapiga tu mdogooo mdogo
Huu ni uongo plus utotoHuyo anaebana kabla hata mimba haijafika miezi7 ni hatari sana kwake siku ya kujifungua anaweza kupata michubuko sana huko ndani kwajili ya ukavu!
Manii hulainisha madhari ya mazingira atayopitia mtoto.
Kumbe ndo maana watoto wengine huzaliwa na nywele vipilipili na magaga miguuni kisa kukosa shamboo na utelezi orginal kutoka kwenye "kifanyio cha baba"
Inahitaji Umakini wa hali ya juu maana..Mdogo mdogo hupigi show zile za kukata na shoka, kumkunja kunja, kumbinua hapana kiuno na mgongo bado havijarecover, pia kupiga masaa nane nayo hapana..... Muda huo ni show ya kijogoo jogoo
Acha matusi kwa wazazi pambaff lisingekua hilo bwawa we ungekuwepo ovyoooNi sawa na kuogelea kwenye bwawa linalokuzidi uwezo
Wewe umekariri tu, lakini kimsingi hakuna tatizo lolote.
Wanaume wenye mapenzi ndo watafanya hivi, ila mmh wengine huo ndo muda wa kuwa bize na vihawara si mke kajifungua nae anakua bize utadhani kibajajiHaya mambo vijana wadogo hawawezi kuyaelewa! Lakini wacha wakodoe macho pengine wataambuliwa chochote cha kuwafaa mbeleni!
Kubembenda hakupo. Ni kuwa wasafi tu kuepusha uchafu kumfikia mtoto, tena wakati huu mpende sana mkeo, kuwa karibu nae yaani kama ndio unamchumbia, mapenzi yako yatamtia nguvu sana, unaweza kudo nae taratibu taratibu. Mambo ya lishe zingatia sana, supu ya chain beef walau mara mbili kwa siku, mboga mboga, maziwa, mtori na mapoko poko mengine, atengeneze maziwa ya mtoto bila kutetelesha afya yake