Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
Kutokana na Ratiba yangu kubana so Ni lazima nifanye mazoezi hasa hasa ya viungo..
Nakoga vizuri if kuna ratiba ya Kula BUMUNDA basi nalitafuna vizur kabisa..
Kila nikichanganya hizi Ratiba mbili kwa wakati mmoja (siku moja) mgongo (sehem ya juu) huwa inauma kiasi katik siku inayofuata.. Ila baada ya siku mbili kupita hali inakuwa sawa..
Je hii Tabia ya kuchanganya Hizi Ratiba mbili kwa siku moja ina ATHARI kiafya? Or ni Reaction za Mwili tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakoga vizuri if kuna ratiba ya Kula BUMUNDA basi nalitafuna vizur kabisa..
Kila nikichanganya hizi Ratiba mbili kwa wakati mmoja (siku moja) mgongo (sehem ya juu) huwa inauma kiasi katik siku inayofuata.. Ila baada ya siku mbili kupita hali inakuwa sawa..
Je hii Tabia ya kuchanganya Hizi Ratiba mbili kwa siku moja ina ATHARI kiafya? Or ni Reaction za Mwili tu?
Sent using Jamii Forums mobile app