Kufanya meditation bongo ni kazi mno! ile unafunga macho tu mawazo ya ada ya mtoto, ukijirudi kidogo mara inakuja harufu ya chemba imecheua kwa jirani

Kufanya meditation bongo ni kazi mno! ile unafunga macho tu mawazo ya ada ya mtoto, ukijirudi kidogo mara inakuja harufu ya chemba imecheua kwa jirani

Hongera mkuu

Eti kuna watu wanajua njia za kuongea na ancestors wao, sijui ni kwwli??
Ni kweli hata shangazi yangu anaweza. Nikiwa na matatizo tu nakwenda kwa shangazi kwetu Moshi na yeye unipeleka kwa mizimu (makaburi yetu) na kuniombea. Utashangaa nikirudi Dar tu kila kitu kinakuwa shwari. Cha hajabu nikienda kanisani ama kwa sheikh sifanikiwi, hakika dini za kuletewa ni laana tupu kwetu Waafrika.
 
Ni kweli hata shangazi yangu anaweza. Nikiwa na matatizo tu nakwenda kwa shangazi kwetu Moshi na yeye unipeleka kwa mizimu (makaburi yetu) na kuniombea. Utashangaa nikirudi Dar tu kila kitu kinakuwa shwari. Cha hajabu nikienda kanisani ama kwa sheikh sifanikiwi, hakika dini za kuletewa ni laana tupu kwetu Waafrika.
Sasa hapo amesimama kama kuhani kuongea na hiyo mizimu yenu ila hajaongea nao. Kinachoongelewa hapa ni ile direct communication kana kwamba wamekaa pamoja
 



Chagua inayokufaa blood 👊🏾👊🏾
Damu yangu 👊.....
 
Ni meditation hiyo.

Cha msingi ishinde hofu ongeza uzingativu kwenye hizo rangi utafikia stage ya kuanza kuona mambo tofauti tofauti ambayo yaliwahi kukutokea.

Ongeza uzingativu hapo utafikia stage ya Factory data reset ya yale mambo ambayo huwa yanakuondolea focus.

Automatically utakuwa ni mtu mtulivu, unayefanya mambo yako kwa umakini na uzingativu sana mpaka utaanza kujishangaa.
ngoja nikazane asante
 
Back
Top Bottom