Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Salaam wakuu,
Napenda nilete wazo langu la kutafuta mtu mmoja ambaye tutasaidiana kufanya
mradi mdogo wa kufyatua matofali. Vitendea kazi vipo vya kutosha kuanzia,
atakayekuwa serious atafanya kazi na kijana wangu. Kwa anayeona hili wazo litalipa
naomba ani PM ili tuweze kuelezena vizuri zaidi.
Napenda nilete wazo langu la kutafuta mtu mmoja ambaye tutasaidiana kufanya
mradi mdogo wa kufyatua matofali. Vitendea kazi vipo vya kutosha kuanzia,
atakayekuwa serious atafanya kazi na kijana wangu. Kwa anayeona hili wazo litalipa
naomba ani PM ili tuweze kuelezena vizuri zaidi.