Kufanya scrub kuna shida yoyote kiafya?

hiyo sikirabu inafnywa kwa wanaume....? Amavubi niambie?
 
Last edited by a moderator:

tsh ngapi?????????
 
Mmh, mitego, nikiingia ziwani, nikitoka samaki wamenata kwenye ngozi, ni zaidi ya kokoro

Afu unyayoni ndimo natunzia coins maana kuna mipasuko kama caves.

[/B][/COLOR]
ndio nini mkuu, magamba?
 
bado mtoto, ukikua ndio nitakuaminia

Awaulize wanaume wa kitanga wanafanyiwa hii kitu kwa mti wa asili mfano liwa...msio..manjano nk. Nikitu na box wanapendeza naturally..hasa wakati wa kuowa . Uliza ni rahaa
 
Awaulize wanaume wa kitanga wanafanyiwa hii kitu kwa mti wa asili mfano liwa...msio..manjano nk. Nikitu na box wanapendeza naturally..hasa wakati wa kuowa . Uliza ni rahaa

hiyo nitaitafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…