Hehehe,kama hujawahi fanya ulitakiwa dead utolewe kwa brush ya chooni ile ngumuuu. Endelea kwenda
Yah zipo scrub za mwili mzima,za miguu na za uso!
haya bhana, tukisema tuorodheshe mambo ya kike utaingia tu
Real manly men don't do scrubs! I'm sorry.
Yes BM kweli warefu ila kuna classes pale ukiingia VIP ndio lazima utakamuliwa, ila ikitokea siku uko vizuri kiuchumi, lipia huduma inaitwa sikumbuki nini nini ila mwisho inaishia na neno "De Capicin" inalipiwa TZS 250,000 ila you won't regrate!.
Pasco
tsh ngapi?????????
Ndio maana nina magwambala, sijawahi fanyiwa vitu hivi.
Ndio maana nina magwambala, sijawahi fanyiwa vitu hivi.
wanaume kwa wanawake Kabanga, njoo nikufanyie kama vipi, na huduma nyingine zipo
[/B][/COLOR]
ndio nini mkuu, magamba?
bado mtoto, ukikua ndio nitakuaminia
Hahah magwambala! swaga ya kanda ya ziwa hio mkuu
ah....hebu weka mezani bei na pia hizo huduma nyinginezo.....
Awaulize wanaume wa kitanga wanafanyiwa hii kitu kwa mti wa asili mfano liwa...msio..manjano nk. Nikitu na box wanapendeza naturally..hasa wakati wa kuowa . Uliza ni rahaa
Mmh, mitego, nikiingia ziwani, nikitoka samaki wamenata kwenye ngozi, ni zaidi ya kokoro
Afu unyayoni ndimo natunzia coins maana kuna mipasuko kama caves.
bei ni maelewano mkuu hatutashssindwana
hata hayo maelewano yana ceiling pia...