Mkuu hakuna jambo linalokosa changamoto, Nikweli ngono ni starehe kubwa sana, ila kuna changamoto zake hasa kwa wale wanao pendelea zaidi, Kwanza kabisa faida ya ngono 1 nimazoezi hasa kw mwanaume, faida ya pili, husaidia kupunguza mawazo,Hasira zile zisizo na maana yeyote nk., Lakini tendo hilo hupunguza sana nguvu za mwili bila kujitambua kwamba umepungua,, pia jinsi umri unavyo zidi kwenda? Huku ukiwa na dhana hio hio yakuendekeza ngono? Basi hakika umri wako na afva havita kwenda sawa ,, Utakongoroka kw haraka sana na kuonekana umzeeeee!! Sana, Mfano mimi, nina miaka 45" lakini sikujaaliwa kuwa mleve wa ngono, Me nimemaliza umri wa balehe sijui mwanamke, hadi nilipo hitim shule ya msingi bado sikujuwa nini maana ya ngono, hivyo kiufupi nimeshiriki tendo nikiwa mtu mkubwa kati ya miaka 28-30, Na sasa mimi nipo fiti Vyuma vimekaza kiukweli yaani.