Kufanya vibaya kwa Namungo FC inatokana na ratiba ya ligi kuu Tanzania Bara?

Umeandika vyema
 
Mafanikio ya Simba kwako sio amani?Amani ya kweli utaipata kupitia mafanikio ya Yanga na sio anguko la Simba.Hangaika na Yanga yako

Amani hakuna kwani mtaani hakuna utulivu. Simba wamekuwa malimbukeni wa ushindi mwembamba na wa kubahatisha huku wakitunanga wananchi. Sasa kaeni tayari,anguko lenu linakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…