Yani unahoji kuhusu kufanya vibaya Kwa Namungo kwenye group stage yanye team kama Raja na Pyramid serous?
Anyway jibu jepesi ni kwamba, stage waliyofika saizi wamekutana na team ngumu kuliko stage zilizopita, Namungo hawana cha kupoteza maana group stage wameingia kama zari tu ila wamepangwa kundi gumu hivo mafaniko waliyopata ya kuingia group stage bado ni makubwa Sana kwao na wanahitaji pongezi
Ukitaka ujue kuwa wanahitaji pongezi jiulize club kubwa kama yanga au Azam zimeingia mara ngapi? Na mara ya mwisho Yanga kuingia group stage ya shirikisho alipangwa na hao pyramid wote tunajua nini kilimkuta, kwahiyo kuhusu ratiba lengo ilikuwa ni kuwapa muda zaidi wa kujiandaa na sio ubovu wa ratiba