Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
Mafanikio ya Simba kwako sio amani?Amani ya kweli utaipata kupitia mafanikio ya Yanga na sio anguko la Simba.Hangaika na Yanga yakoMimi nasubiri Simba atoke ili amani irudi mtaani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafanikio ya Simba kwako sio amani?Amani ya kweli utaipata kupitia mafanikio ya Yanga na sio anguko la Simba.Hangaika na Yanga yakoMimi nasubiri Simba atoke ili amani irudi mtaani.
Umeandika vyemaYani unahoji kuhusu kufanya vibaya Kwa Namungo kwenye group stage yanye team kama Raja na Pyramid serous?
Anyway jibu jepesi ni kwamba, stage waliyofika saizi wamekutana na team ngumu kuliko stage zilizopita, Namungo hawana cha kupoteza maana group stage wameingia kama zari tu ila wamepangwa kundi gumu hivo mafaniko waliyopata ya kuingia group stage bado ni makubwa Sana kwao na wanahitaji pongezi
Ukitaka ujue kuwa wanahitaji pongezi jiulize club kubwa kama yanga au Azam zimeingia mara ngapi? Na mara ya mwisho Yanga kuingia group stage ya shirikisho alipangwa na hao pyramid wote tunajua nini kilimkuta, kwahiyo kuhusu ratiba lengo ilikuwa ni kuwapa muda zaidi wa kujiandaa na sio ubovu wa ratiba
Umeandika kishabiki zaidiUko sahihi mkuu, hata mikia wasingefurukuta kwenye hili kundi! Labda kama wangesaidiwa na vipimo vya COVID19......! Jokes
Mafanikio ya Simba kwako sio amani?Amani ya kweli utaipata kupitia mafanikio ya Yanga na sio anguko la Simba.Hangaika na Yanga yako
Utasubiri sanaMimi nasubiri Simba atoke ili amani irudi mtaani.