Kufaulisha na Kufelisha kwa Mwalimu

Kufaulisha na Kufelisha kwa Mwalimu

jenereta

Senior Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
146
Reaction score
40
Hii imetokea Morogoro manispaa, kuna mwalimu anafundisha shule A (sipendi kutaja jina la mwalimu au shule) kama mwajiriwa wa serikali, somo la jiografia, harafu anafundisha muda wa ziada (part time) somo hilo hilo katika shule B, matokeo ya kidato cha 4 shule B watoto wamefaulu vizuri kiasi kwa madaraja A, B na C pia (though matokeo yalikuwa mabaya kwa nchi nzima), shule A ambako mwalimu huyu kaajiriwa na serikali kufundisha somo la jiografia,.kuna daraja C mmoja tuu. Unadhani sababu kuu ni nini? serikali na tume yake haiitaki sababu hii hata kdg. BONGO MOVIES NDANI YA ELIMU, “the future is dark, only the politicians will.survive”.
 
Mbaya zaidi ni kuwa shule A has cream of the nation kwa sababu ina wanafunzi waliofaulu darasa la saba tu basi
 
mtoa mada usiwe muoga, taja jina la shule na la mwalimu ikiwezekana. pia angalia mazingira ya kufundishia pengine hiyo shule yetu (shule A) haina hata ramani za kufundishia
 
Nia na marengo ya wasomaji pia inaweza kuwa sababu, kama shule B ni mfumo wa tuition inamaana wasomaji wanajituma na wana kiu ya kufanya vizuri lakini shule a ni wavaa vimodo, milegezo na viduku kwa kwenda mbele, hapo mwalimu hata afundishe kwa kulia hakuna jipya.
 
Back
Top Bottom