tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
- Thread starter
- #21
Hivi unadhani kufundishwa/kusoma, kuelewa na kufaulu vyema sio kipaji.?
Kuelewa ni kipaji, kucheza mpira ni kipaji, kucheza shoo ni kipaji. Tatizo kubwa ninaloliona hapa ni mfumo wa tanzania kuwa mbovu, vitu havifuati proffesionalism, proffessionals hawathaminiwi katika fani zao na wako underpaid zaidi ya wanachokifanya huku watu wa hovyo wakipata pesa nyingi kwa shortcut kama vile (madawa ya kulevya, wizi/ufisadi, rushwa, kujuana etc).
Mind you siku hizi ni wanafunzi asilimia chache sana utakaowaambia habari za kusoma can make you having good life wakakulewa. Wengi akili zao zimekuwa filled na ujanjaujanja na shortcuts kama silaha ya mafanikio. Wizi/deal umekuwa kitu cha kujisifu katika tanzalnia ya sasa. How come mtu aje kuona kufaulu sana ni kipaji ilhali amemzidi mafanikio au wanalingana yule alofaulu sana.
So ni system ya nchi ndio mbovu/ these guys walofauli sana ndio ilitakiwa wawe think tank. No wonder nchi inaenda hovyo kwa kutojali hili. Waziri wa elimu(mulugo) alipata 0 na kafoji vyeti, unategemea nini katika elimu ya nchi.?
Mkuu KUSOMEA KATIKA MAZINGIRA MZURI, WALIMU WAZURI NA VIFAA VYA KUJIFUNZIA VYA KUTOSHA na UKAFAULU VIZURI sio kipaji maalum!!!!!!! Kama wana vipaji maalum basi wangejifundisha wenyewe bila walimu ndipo tungepambanua vizuri vipaji vyao. Mtu hawezi kusoma St Marian akapata divisheni ONE na mwingine akasomea shule kama hii hapa akapata divisheni 4 halafu ukasema eti yule wa Marian ana kipaji maalumu kumzidi huyu aliyesomea vichakani.

Haiwezekani hata kidogo na hakuna ulinganisho wa namna hiyo mahali popote pale. Inachokifanya serikali ya CCM ni kujaribu kufukia kichwa mchangani kama mbuni huku akidhani mwili mzima hauonekani!!!!1
