Nikhil
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 361
- 120
wakuu imekuwa jambo la kawaida kama siyo la kusikitisha kuwa kijana amesoma miaka minne lakini anafeli kwa kutojiandaa vizuri na kudanganywa na haka kajimsemo ! Wakuu misemo kama hii mnaichukuliajel? Kwaangu mimi ninaona nikupotoshana tu kielimu mwisho wa siku tunaambulia ZERO 60%