Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
-
- #41
Rene Jr bado ishu iko palepale kuzihalalisha ziingie kwenye mzunguko wa kawaida wa miamala ya pesaHahahahaa, pole Mshana kama kuna Lugha imekukwaza, sijuwi ni ipi.
Kuhusu mahala pa kuzipeleka hizo pesa siyo juu ya benki, ni kama Tanzania tu ukishakabidhiwa pesa yako mule bulk cash imeshatoka kwenye hesabu ya benki ni juu yako kuilinda na kuisafirisha kwa njia unayoona inafaa. Kazi wala siyo kuingiza cash tanzania, hiyo ni kazi ndogo sana, hata ukinipa mimi kazi ya kuingiza kontena zima la pesa nipe miezi miwili tu nakamilisha kazi yako bila kupotea hata elfu kumi. Kazi ipo kwenye kuisafisha hiyo pesa, kuilipia kodi. Kwa vile ni pesa nyingi sana si kazi ndogo kuisafisha, hilo ndiyo linawaogofya watu mpaka wengine wanajikuta wanaingia mikataba isiyo na maandishi na wafanyabiashara, influence yako ikishuka anaweza kukuuza sekunde yoyote. Tanzania ina mazingira mazuri tu ya Wafanyabiashara wenye pesa chafu kusafisha pesa zao, lakini kuna nchi nzuri zaidi ya Tanzania zenye mazingira mazuri zaidi ya kusafisha pesa kiasi chochote, kwa public fuigure hawezi kujificha, lakini kwa mtu asiyejulikana analay low na kufanya mambo kimyakimya...saafi.
Yani ni sawa na kutaka kuligeuza joka la kibisa liwe joka la mdimu
Last edited by a moderator: