Kufika kileleni, kupiga bao na kufanya masterbation kunaharibu maisha yako

Kufika kileleni, kupiga bao na kufanya masterbation kunaharibu maisha yako

Kwanza, Inaonekana mtoa mada ndio ameijua leo dopamine maana maelezo mengi then anarudi palepale kwenye dopamine, nikajua kutakua na points nyingi tofauti tofauti😂😂😂

Pili; Ngono ndio inawapa wengi msukumo wa kupiga kazi mfano binafsi nilisoma boys levels zote na kitabu hakipandi mpaka nipige nyeto(angalau bao mbili)😁 then ndo akili inatulia kufanya mambo mengine na kazini pia hadi nikiwa na mtu wa kunikeep busy usiku au mchana ndio kazi za watu zinafanyika vizuri.

Ufupi mtoa mada utakuwa na tatizo la nguvu za kiume kama mchangiaji alivyodokeza hapo juu, unaweza kujiona unasimamisha mnara kumbe bado uko 2G😁 uliza walioko 5G+ uelezwe namna genye zinavyosumbua akili😂
 
Kuna mambo mtu unaweza kushindwa kuelewa kutokana na umri uliopo bado unahitaji muda kuelewa concept hii, inaweza kuwa ngumu kuelewa kwa sasa lakini ukiwa mtumwa wa mambo haya kuna age itafika utakuja kugundua kile ambacho uliona ni asali kwa muda huo kilikuwa ni sumu kali ambayo iliruhusu kuingia mwilini mwako, ukiwa kama kijana una kila sababu ya kwenda ku explore sexual desire lakini omba sana akili zako zije kugundua madhara ya hicho unachofanya kabla hujaharibu maisha yako.
 
Umeandika mengi. Ila ni kweli yote.
Eti unambato demu kwakuwa umemtamani unamnunua ili akuvulie pichu bila yeye kuachia moyo kwako
 
Tatizo pia mtoa mada anadhani wanaompinga ni wazinzi, La hasha! Kama watu wamekubaliana kufanya mapenz sidhani kama kuna madhara mbali na magonjwa ya ngono(ambayo bila shaka sio madhara yanayolengwa hapa na uelewa upo wa kutosha namna ya kuyaepuka kwa watu wazima wote). Labda angetoa msisitizo wa kutoendekeza ngono bila kujishungulisha na harakati za kujikwamua kimaisha.

Nje na mapendekezo yangu hapo, mtoa mada amehusisha vitu viwili ambayo havihusiani kibaiologia maana hakuna ushahidi wowote kuwa mtu anayefanya sana ngono lazima ashindwe kufanikiwa kwenye mambo mengine ya maisha. Pia inaonesha ameshindwa kuielewa au kuhusianisha effects za dopamine katika kila situation ambapo inakuwa inazalishwa na amejikuta akichanganya mafile na kabla ya kuelewa mambo vizuri akadakia kuanzisha uzi.

Kwa kawaida na ukiachilia mbali magonjwa ya nguvu za kiume na mengineyo,Mwanaume mwenye afya kadiri umri unavyozidi ndivyo nguvu za kiume huzidi kupungua na endapo mtu hatazingatia lishe bora na mazoezi tatizo huwa kubwa zaidi na hamu ya kufanya mapenz hupungua tofauti na ujana.

Hivyo mtu anayejielewa anaweza kutafuta maisha ujanani na akafanya ngono salama mara nyingi atakavyo na akafanikiwa. Na sidhani kwa hilo Mtu mwenye akili atakuja kujutia uzeen bali atakuwa satisfied kuwa alitumia akili, nguvu na hisia alizokuwa nazo ujanani vizuri. Hivyo mara nyingine watu wazima usiwaone au wasijione kwamba wamekuwa na busara au akili zimeongezeka kwa kutokufikiri, kuendekeza au kupuuzia ngono kwao bali wafikiri kuwa huenda ubora wa nguvu zao za kiume umepungua na wasione vijana wajinga. Wawashauri tu vijana kuwa wanaposhika moja(ngono) lingine lisiwaponyoke(kujituma), na hilo linawezekana trust me! i can tell you stories...

Mwisho: Wengi wanaojutia ngono, kushindwa maisha na majuto mengine ni kwasababu ya Uvivu, Mangonjwa ya ngono na ya kutokuzingatia lishe bora na uhusiano mbovu kati yake na Jamii au Mungu na kupoteza Fursa. Ila Kwenye Ngono kama ngono as long as ni salama haitamfanya mtu ajutie katika umri wowote. Tunaomba utuache na urudi Library.

Ntakuja na somo kuhusu Dopamine🙏
 
Sijamwelewa mtoa mada,
Heading na yaliomo hayaendani ,,
Mmmh!!
 
Pale mhitimu wa form six "PCB" anaporudi mtaani nakujikuta mtaalamu wa afya.

Yani mkuu wewe hata matokeo yako hayajatoka tayari ushakuwa na mjuaji hivi,
Je siku matokeo yakitoka umefaulu si ndo utakuja hapa kuzuia watu wasinyanduane kabisaa..
Hahaaaa
 
Mkuu at end of the day

Kuna kufa .. Yaani hata ukiepuka kufanya ngono kama ulivyo shauri

Still utakufa tu kama wafanyaji ngono holela watakavyo kufa

So enjoy your life mkuu .. Haya maisha ukiyachunguza kwa kina utabaini kwamba hayana maana yeyote
 
Kwanza, Inaonekana mtoa mada ndio ameijua leo dopamine maana maelezo mengi then anarudi palepale kwenye dopamine, nikajua kutakua na points nyingi tofauti tofauti[emoji23][emoji23][emoji23]

Pili; Ngono ndio inawapa wengi msukumo wa kupiga kazi mfano binafsi nilisoma boys levels zote na kitabu hakipandi mpaka nipige nyeto(angalau bao mbili)[emoji16] then ndo akili inatulia kufanya mambo mengine na kazini pia hadi nikiwa na mtu wa kunikeep busy usiku au mchana ndio kazi za watu zinafanyika vizuri.

Ufupi mtoa mada utakuwa na tatizo la nguvu za kiume kama mchangiaji alivyodokeza hapo juu, unaweza kujiona unasimamisha mnara kumbe bado uko 2G[emoji16] uliza walioko 5G+ uelezwe namna genye zinavyosumbua akili[emoji23]
Hahaaa
 
Moja kwa moja kwenye mada

Kama unatabia ya kujipongeza kwa kufanya ngona bila stahiki acha mara moja unajiharibu kufanya ngono ni kuzuri, kuna faida nyingi katika mwili wa binadamu lakini kuna mipaka yake, unatakiwa kufanya ngono inapobidi yani ufanye ngono kwa sababu, kama hauna sababu ya kufanya ngono acha mara moja, unajiletea madhara makubwa.

Ngono inatakiwa kuwa kama mshahara baada ya kufanya mambo kadhaa, lakini unapokuwa unapata ngono pasipo kujiwajibika hata kidogo inakuharibu kabisa, ngono inabidi kuwa mshahara wa mahusiano, unatengeneza ashiki kwenye mahusiano inajaa inapanda alafu unakuja kuondoa kwenye ngono, lakini unapokuwa unapata ngono bila kuwa na mahusiano unauchosha mwili na unaharibu akili yako kabisa

Ngono inabidi kuwa kichocheo cha kukufanya ufanye mambo kadhaa iliuweze kupata ngono, mfano mtu anatakiwa kujifunza kuwa na mahusiano mazuri, mahusiano ya kimapenzi na jinsia ya pili, haya mahusiano yanapelekea mtu kuwa na ufahamu wa mazingira pia anapata life skills za kuweza kumuwezesha kutatua changamoto mbalimbali za maisha, anajifunza kuhusiana na mwenzake anapata faida ya akili anapata faida ya kijamii, anajifunza kuwa na mahusiano mazuri ili baadae awezekupata mshahara wa ngono kama matokeo yake

Ngono inabidi kutumika kama mshahara hii ni kwa jinsia zote mbili, ngono inabidi kuwa kama pongozi baada ya kufanya mambo kadhaa baina ya watu wawili, inabidi kutumika kutengeneza attachment, ngono inatumika kuponya mahusiano, kuponya utengano baina ya nyinyi wawili.

Yafuatayo ni madhara ya mtu anayefanya ngono pasipo stahiki

Kuishiwa nguvu, unapofanya ngono bila stahiki utapatwa na tatizo la kutokuwa na nguvu, siku zitakuwa zinapita unaona maisha yanaendelea tu mwili hauna nguvu, unajisikia uchovu, energy yako iko very low, yani unashindwa kufurahia maisha kabisa, unahisi kabisa kuna kitu kimepungua katika maisha yako tatizo ni kwamba unapata ngono nyingi na sababu inakuja bila condition bila kuifanyia kazi bila kuwajibika utakuwa mtumwa wa ngono na itakupunguzia nguvu zako mwilini, haya ni madhara ya kupata ngono free au kufika kileleni bure tu, sababu muda wowote unapotaka kufanya ngono unapata tu, bila kujua inakuumiza.

Aibu na majuto, kama unafanya ngono bila kuwa na mpenzi kama vile kujichua , kuna kupelekea kuwa na aibu na majuto, unashindwa kuwa na mahusiano mazuri na jinsia ya pili hata jinsia yako pia, ndani ya moyo wako kuna kuwa na mfadhaiko mkubwa unajiona wewe ni mtu wa ajabu sana, unajiona wewe ni mtu mwenye mapungufu katika jamii, unaweza kudanganya watu wengine lakini hauwezi kudanganya nafsi yako nafsi yako itaendelea kulalamika kama unapata ngono ambayo haina faida kwako, utakuwa unapata ile raha ya ngono tu kufika kileleni rakini akili zako zitakuwa zinatamani kuwa na mahusiano na jinsia nyingine lakini ile nia itakuwa haipo sababu tayari unapata mahitahi ya kufika kileleni, chemical za dopamine ambazo unazitoa wakati wa kufika kileleni zinaupongeza mwili, na mwili unaona tayari umepata kile ambacho unastahirl, bila kujua hayo sio mahusiano, dopamine ndio inakupa msukumo wa kutaka kufanya jambo inakupa msukumo wa kutafuta mpenzi inakupa msukumo hata katika maendeleo ya maisha yako, unapokuwa unafika kileleni bila stahiki na mara kwa mara unapopenda wewe tu muda wote utakosa msukumo wa kufanya yale unaweza fanya hivyo hali hiyo itakuletea aibu sana katika maisha yako wewe utakuwa mtu wa kulizika tu baadae majuto.

Kuona jinsia ya pili kama chombo cha starehe cha ngono na kuwavua thamani kabisa, kama unajichua utakuwa unaona jinsia nyingine kama chombo cha ngono, utashindwa kuona thamani ya jinsia ya pili, kila ukiona mwanaume mzuri au mwanamke mzuri unakua unaona ngono tu unashindwa kutambua kuwa kuna mambo mengi ambayo unaweza kufaidika kwa kuwa na mahusiano na upande wa pili, lakini sababu ya kujichua, pia hata kama unapata sex kutoka kwa mwanamke let say Malaya itakufanya ukose kuona thamani ya jinsia hiyo

Kuna mambo mengi ya kusema hapa ngoja nifupishe ni bora ukabaki bila kufanya ngono ile hali ya kupiga bao inatoa chemical za dopamine ambazo zinafanya mwili wako kusikia vizuri, unafanya mwili wako kupata starehe wakati hakuna kitu chochote ambacho umefanikisha, kwa hali hiyo inakufanya ushindwe kuwa na ile nguvu inayoweza kukusukuma kufanya mambo positive kataka maisha yako ambayo yangeweza kubadili maisha yako, ngono itumike kama mshahara wa kujipongeza tu, lakini ikitumika kama kujifurahisha utakosa msukumo wa kufanya mambo ya Msingi kwenye maisha yako sababu utakuwa tayari unayapata bila kufanya chochote, hii itakufanya uishi maisha mabaya sana, acha kufanya ngono ambayo haina faida epuka kutoa hizi chemical za dopamine kila mara kwa kufanya ngono, itakupelekea kulidhika katika maisha, itakufanya ushindwe kujenga mahusiano imara sababu utakosa nia utakosa msukumo, mwili utakuwa unadai dopamine na utaishia kufanya ngono au kujichua kama starehe na mara baada ya kufanya ilo mwili unaona tayari umemaliza kila kitu.
Hii elimu uliipata wapi?
 
Live, and let live.....!



Let's meet at the top, cheers 🥂
 
kwa typing speed yangu hata dakika mbili sijachukua kuandika hii post
Kwa uongo huo we Chukua fomu ya ubunge mkuu, yaan gazeti hilo hujatumia hata dakika mbili kuandika[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom