Kufika kileleni, kupiga bao na kufanya masterbation kunaharibu maisha yako

Pale mhitimu wa form six "PCB" anaporudi mtaani nakujikuta mtaalamu wa afya.

Yani mkuu wewe hata matokeo yako hayajatoka tayari ushakuwa na mjuaji hivi,
Je siku matokeo yakitoka umefaulu si ndo utakuja hapa kuzuia watu wasinyanduane kabisaa..
Jamaniiii taratibu mbavu zinauma huku.
 
Hongeraaaaah sanaaah
 
Acha watu wagegedane bhanaah kwan tsh ngapi? Khaaaaaah [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwa uongo huo we Chukua fomu ya ubunge mkuu, yaan gazeti hilo hujatumia hata dakika mbili kuandika[emoji3][emoji3]
maana yake nimetumia muda mdogo sana , inaweza isiwe dakika mbili, hiyo inaitwa exaggeration lakini still ni article fupi sana kuandika kwa speed yangu ya typing.
 
We sio msemaji wa CHAPUTA tena siku nyingine kwenye vi mada vyako unavoanzisha usije rudia tena kutaja masta beshen ovyo tutakufunga asee
 
Mkuu hacha mambo Yako bhasi
 
Au basi..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…