Unaforce Sheria.kifo hakifuti deni. ni mdaiwa lazima amlipe. tena sasa ndiyo itamuwea vigumu maana msimamizi wa mirathi na mahakama vitampa deadline ili mali za marehemu zigawanywe kwa warithi
kazi kwelikweli...inaonekana ulivyomaliza chekea ukadhani umemaliza chuo. inaonekana wewe ni mbumbumbu usiyejua masuala ya mirathiUnaforce Sheria.
Mali ya kudai inabaki hivo hivo.
Sasa hukumu itakaziwa kwa nguvu zaidikifo hakifuti deni. ni mdaiwa lazima amlipe. tena sasa ndiyo itamuwea vigumu maana msimamizi wa mirathi na mahakama vitampa deadline ili mali za marehemu zigawanywe kwa warithi
Hivi inawezekana jamaa kafanya mambo ya kiswahili?Mganga wa Musiba ata andaliwa Karamu ya kifalme kama shukran kwa kazi kubwa aliyoifanya
Ufafanuzi tafadhari...Mirathi inasemaje.kazi kwelikweli...inaonekana ulivyomaliza chekea ukadhani umemaliza chuo. inaonekana wewe ni mbumbumbu usiyejua masuala ya mirathi
Kuna atakayesogeza tena pua? Punguzeni kujidanganyaHukumu ilishatoka alipwe kuna warithi wake hawajafa
Haha... Kwamba watamlazimisha alipe mapema wagawane?kazi kwelikweli...inaonekana ulivyomaliza chekea ukadhani umemaliza chuo. inaonekana wewe ni mbumbumbu usiyejua masuala ya mirathi
tena watakomaa, mana chelewesha imesababisha kifokifo hakifuti deni. ni mdaiwa lazima amlipe. tena sasa ndiyo itamuwea vigumu maana msimamizi wa mirathi na mahakama vitampa deadline ili mali za marehemu zigawanywe kwa warithi
Hakuna sherehe hapo ndugu. Deni liko palepale!Mganga wa Musiba ata andaliwa Karamu ya kifalme kama shukran kwa kazi kubwa aliyoifanya
Upe muda wakatiKuna atakayesogeza tena pua? Punguzeni kujidanganya
Marehemu aliombwa na maaskofu asamehe deni akakataa, huenda mrithi akakubali kusamehe deniSasa hukumu itakaziwa kwa nguvu zaidi
Aisee.Mganga wa Musiba ata andaliwa Karamu ya kifalme kama shukran kwa kazi kubwa aliyoifanya