Kufuatia kufuru ya Simba SC, Serikali yatoa tamko

Nadhani wao yanga walipewa hongera tena direct kutoka kwa mama kupitia simu aliyompigia manara akiwatakia ushindi mnene kwenye mechi yao muhimu ya kimataifa ambayo iliisha kwa sare

Mama Samia Suluhu akawapa morale washinde wao wakatoa suluhu
 
Yanga hawajawahi kupongezwa na Serikali
 
Ha ha tisheti imeandikwa sipati pesa
Ndio mkuu!Sport pesa kampuni ya watu hiyo.Unapishana nae.Kuna maji yanaitwa Afya na mengine ni Afiya kampuni tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…