kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Kimeachwa kikiwa bado kinampenda tena sana ndio mana muda wote kinamuwazaHiki kibibi kwanini kinamfuata sana Sugu hakuna kiki nyungine kinaweza pata zaidi ya Sugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimeachwa kikiwa bado kinampenda tena sana ndio mana muda wote kinamuwazaHiki kibibi kwanini kinamfuata sana Sugu hakuna kiki nyungine kinaweza pata zaidi ya Sugu
Kweli kabisa nduguNarudia tena huu ni mshahara wa kushobokea wanawake wasio na akili kisa kukidhi tamaa za mwili
Ndio kamzidi..hata hili wajiuliza kweli???Diamond amesema hakuna mwanamziki anayemzidi hela,hivi dimondi amamzidi kipesa Sugu?
Diamond amesema hakuna mwanamziki anayemzidi hela,hivi dimondi amamzidi kipesa Sugu?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] loooh kwa kweliDaimond atahombanisha familia kwa hayo matumiz aisee
Busara inakuhusu nini, Sugu kamchagua mwenyewe huyo. Na hiyo ndiyo gharama ya kuokota okota. Acha waabishane tujifunzeMi siwezi kuamini kwamba Sugu kashindwa kumpa huduma mwanae, sema huyu bibi ana matatatizo, we angalia hata hayo maneno. Hana busara hata kidogo, inasikitisha kwa kweli.
Msione ufahari kuwabebesha mimba mabint na kuwatelekeza. Mjue kuna leo na kesho. Mh Sungu angekuwa msanii tu hii isingekuwa habari, kinachotatiza ni ule ubunge alionao. Istoshe kama hakuwa na muendelezo na huyo mwanamke hakukua na uharaka wa kuanza kuzalishana ili kuepuka usumbufu wa aina hiiDaimond atahombanisha familia kwa hayo matumiz aisee
Mi sibebeshi mimba mzeeMsione ufahari kuwabebesha mimba mabint na kuwatelekeza. Mjue kuna leo na kesho. Mh Sungu angekuwa msanii tu hii isingekuwa habari, kinachotatiza ni ule ubunge alionao. Istoshe kama hakuwa na muendelezo na huyo mwanamke hakukua na uharaka wa kuanza kuzalishana ili kuepuka usumbufu wa aina hii
Tena inaonekana mheshimiwa alipewa tuzi akapagawa. Matokeo yake ndio hayo sasa.Busara inakuhusu nini, Sugu kamchagua mwenyewe huyo. Na hiyo ndiyo gharama ya kuokota okota. Acha waabishane tujifunze
huko ni balaa mahakamani cha mtoto,huyu bibi kaweka video anajieleza km yuko ICC.sugu sijui aliokota wp hiki kiumbeNaona insta imegeuka mahakama ya ndoa...hongera kwao
Kwani sahizi mbaya???Tatizo kalikuwa kazuri lazima utamani kukajua sema sawa kameleta Tunda lakini kamemfanya kama Muheshimiwa Sugu ndio aliyembikiri kwa kumbaka na kumpa mimba maana si kwa lia lia hiyo
Maneno ya Busara sana haya..!!Kumbukeni mazuri baina yenu na vumilianeni pia maana kwenye upendo na kuondoa majivuno na kiburi... Itakuwa amani katika mioyo yenu.