Kufuatia tetesi za Manji kukodishwa timu, tunaomba majibu ya maswali haya

Club kununuliwa kama masalo tu
Hebu sema simba ilinunuliwa lini, saa ngapi na nani! Usisahau kuambatanisha risiti ya malipo...
Ndala bhana, mmegeuka godown fasta!
 
Aliulizwa kwa nini asitumie hiyo 25% kujenga uwanja? Alichojibu ni kichekesho!
Yule ndio muindi wa ILALA. Ujanja Ujanja mwingi, anachukua 75% yote. Apo ndio mambo ya ajabu utakuja kusikia baada ya miaka 5
 
sijawai kuskia popote pale duniani klabu kukodishwa zaidi ya Tanzania pekee..

safari bado ni ndefu kwa soka letu hili!!
 
Umesahau wapenzi wa hyo timu ni wapenzi wa kile chama cha ndioooo wanafikilia matumbo badala ya kichwa
 
sijawai kuskia popote pale duniani klabu kukodishwa zaidi ya Tanzania pekee..

safari bado ni ndefu kwa soka letu hili!!
Nafikiri taarifa za uwepo wa mashoga na wasagaji unazo.... Kazifanyie kazi
 
Hebu sema simba ilinunuliwa lini, saa ngapi na nani! Usisahau kuambatanisha risiti ya malipo...
Ndala bhana, mmegeuka godown fasta!
Kwa manna hiyo hiyo, Yanga imekodishwa lini? Ambatanisha huo mkataba!
 

hii kitu ina ukakasi mwingi, nadhani wasikurupuke, inatakiwa tadhmini ya kina katika hili, kwanza kama timu inatakiwa ikodishe uendeshaji kwanini apendelewe manji pekee. hata mm ni mwanachama na ningependa kuiendesha Yanga kwanini haikutangazwa ili iwe competitive? hapa kuna utapeli au kutaka kufanya mambo kienyeji, na hii italeta sintofahamu mbele ya safari. Rai kwa Manji na uongozi wa Yanga wasiharakishe hii kitu. Nadhani ule utaratibu ulijaribiwa na Tarimba Abbass wa wanachama kununua Hisa ndio haswa unapaswa kufuatwa kwanza, ili Manji baadae kama ana nguvu ya kiuchumi anunue hisa kutoka kwa wanacha momojammoja kwa utashi wao wamuuzie Manji hisa asitake kufanya ujanja wa kibiashara hapo.
 
Kuna vitu inawabidi waviweke sawa,wasikurupuke hili jambo sio la kuenda nalo kienyeji hivo.
 
Imekodishwa kwa namna ile ile Simba ilivyonunuliwa na Mo. Kotekote bado havijakamilika! !
Mbona unang'ania sana Simba imenunuliwa!
Tafadhali imethibitishwa lini kuwa Mo kashainunua Simba?
Maana Yanga wote tunajua mkutano mkuu uliofanyika hivi majuzi ulibariki Manji kuikodisha Yanga kwa miaka 10 na hilo halina ubishi kwa sasa kuwa Yanga ipo mikononi mwa Manji kwa kukodishwa!
 
Na Leo nimeckia kuwa wanayanga watakuwa wanaingia bure uwanjani iwe ligi au za kimataifa
Na ninavyojua Mimi gate collection ni moja ya vyanzo vya mapato sasa manji atatengezaje faida kwa kuondoa moja ya vyanzo vya mapato
 
Mkutano was Simba haukubariki Mo anunue hisa 51% kuimiliki club?
As wewe unasoma toka kwenye script ipi?
 
Mkutano was Simba haukubariki Mo anunue hisa 51% kuimiliki club?
As wewe unasoma toka kwenye script ipi?
Mbona unabadilisha maelezo yako!
Hukusema kuwa simba imenunuliwa? Kuna tofauti kati ya atanunua na kanunua..
Sasa thibitisha tamko lako la awali!
 
Imekodishwa kwa namna ile ile Simba ilivyonunuliwa na Mo. Kotekote bado havijakamilika! !
Simba mjadala unaendelea, wapo wanaopinga, wapo wanaorekebisha baadhi ya vipengele na wapo wanaounga mkono. Wote wanasikilizwa UZITO wa hoja zao. Aliyeonyesha nia ya kununua hisa aliamua kutohudhuria kikao ili watu waamue kwa uhuru bila kuwa biased na uwepo wake

Yanga kuna tatizo fulani nadhani. Walioonyesha hali ya kukosoa jambo hilo, uongozi wa klabu uliweka mezani hoja ya kuwavua uanachama, na kweli wakavuliwa. Anayeongoza kikao na kuweka hoja ya kuwavua uanachama wanaopinga hilo, ndio huyo huyo mkodishwaji. Kulikuwepo mgongano wa maslahi hapo
 
Mbona unabadilisha maelezo yako!
Hukusema kuwa simba imenunuliwa? Kuna tofauti kati ya atanunua na kanunua..
Sasa thibitisha tamko lako la awali!
Toka mwanzo unasoma kwa mwendokasi. Hilo ni tatizo mheshimiwa. So far Simba haijanunuliwa wala Yanga haijakodishwa. So far nimesema. Mikutano ya wanachama sehemu zote mbili imeridhia hayo yafanyike. Bado haijawa! !
Sasa mtu ansema Yanga imekodishwa! Nikasema ndiyo imekodishwa kwa maana ile ile ilivyouzwa Simba. Labda hapo kidogo
 
Baraza la wadhamini ndiyo watakodisha timu baada ya kupata ridhaa ya wanachama.
Details zitanyika huko
 
Baraza la wadhamini ndiyo watakodisha timu baada ya kupata ridhaa ya wanachama.
Details zitanyika huko
Sawa kabisa. Sasa niondolee shaka hii; wale wanachama watakaokataa kuridhia jambo hilo, watalindwa au watapigiwa kura ya kuvuliwa uanachama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…