Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa. Wapi nilipokosea?Unapotoka hadharani na kudai unataka kutoa Elimu kwenye jukwaa kama hili basi matarajio ya watu ni kupata Elimu hiyo kwa kiwango stahiki.
Ukitaka watu watoe maoni yao juu ya kile ukichokiandika basi Ungesema unaomba kutoa maoni yako juu ya mihimili hiyo na sio kutoa Elimu ambayo hauna ujuzi nayo na mwisho hapo hukutoa Elimu kama ulivyodai ila ulitoa ushabiki wako juu na kile unaamini.
Kichwa cha Habari haviendani na Hoja ulizozitoa.Sawa. Wapi nilipokosea?
Umeelewa vibaya. Sina mahali nilipoandika kuwa executive iko juu ya bunge bali niliainisha majukumu ya kila mhimili.Umeandika utopolo..yaani wewe unaona executive iko juu ya bunge hivo unaona sawa hata kama serikali ikasign mkataba wa kuuza nchi au rasilimali Bila bunge ni sawa?
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Unashauri kingekuwaje,?Kichwa cha Habari haviendani na Hoja ulizozitoa.
Umejiteua kukalia middle fingaMimi nimeshajiteua
Sawa ila hujajibu hoja. Maneno yamekuwa mengi kuwa mikataba ni ya siri na kuwa bunge lilitakiwa lishirikishwe kwenye uingiwaji wake. Mimi nimeandika hapo kuwa sio LAZIMA bunge kushirikishwa. Wee unasemaje?Huyo mbadhirifu wenu mwaka huu hachomoki.
Ana makandokando kama yote.
Lissu ni lazima atinge ikulu tarehe 28 Oktoba 2020.
Nimekuelewa sana mkuu. Kwakweli kujifunza ndio kunatufanya tuwe watu bora zaidi kila siku na napenda kujifunza ila bahati mbaya sijaona hicho ninachofundishwa hapa. Unaweza kuniambia nimefundishwa nini? Kuna yeyote akiyejibu hoja zangu zaidi ya kuonesha dharau na kebehi? Unajuaje kuwa wso ndio wa kujifunza kwenye hili?Pole sana Mkuu. Umeishia kupewa Elimu wewe. Unapaswa kuwashukuru wote waliokuelimisha. Jifunze kufikiri kabla ya kutenda. Nafikiri umenielewa.
Hilo linashida kwani?Wewe utakuwa ni mlinzi wa ile kampuni iliyojenga uwanja wa chato
Hili linatokea sana pale unapokuwa umepewa hoja nzito na majibu huna na unaona wazi kuwa umezidiwa. Mimi naona ni kukosa maturity tuu ndio lako tatizo. Ukikua utaachaUmejiteua kukalia middle finga
Usipite hivihivi mkuuNapitaa
Washauri hawa watu wajifunze kujenga hojaDuh pole mkuu
Ipo siku utakuja kujua haujuiWeka namba za simu.
Jifunze Upya tena muingiliano wa Hizi State Organs
Hufai kuwa hata balozi,kiwango chako cha uelewa kidogo sana.Waungwana,
Kwa kipindi kirefu wapinzani wamekuwa kwa kujua au kutokujua wanapotosha umma Kuhusu kazi na wajibu wa mihimili mitatu ya dola yaani serikali, bunge na mahakama.
Serikali kazi yake ni kuendesha shughuli za kila siku za nchi, bunge kutunga sheria na kuisimamia serikali wakati mahakama inakazi ya kutafsiri sheria.
Kazi ya kuingia mikataba ni kazi ya serikali na hakuna ulazima wa kulitaarifu bunge wakati wa kuingia mikataba hiyo.
Kama bunge linaona kuna shida kwenye mkataba fulani basi linaitaka serikali kupeleka mkataba huo, kujadili na mwisho kutoa maamuzi. Mbunge binafsi pia ana haki ya kuitisha mkataba wowote ilimradi tuu akidhi matakwa ya kisheria
Waulizwe wapinzani, haya wanayolalamikia kuwa ndege, uwanja wa ndege na mengine kuwa mikataba yake haikupita bungeni, tatizo liko wapi? kwangu mimi ni sahihi na hakuna sheria iliyovunjwa hapo.
Wapinzani wanatumia kigezo cha uvivu wa baadhi ya watanzania kujisomea na kujua mipaka hii na kuwadanganya kwHufai a kiwango kilekile cha kusema hakuna reli Wala treni ya kaliua mpanda, uwanja wa ndege kujaa maji n.k.
Wanaosema kuna makosa, waseme ni makosa gani.
JPM kanyaga twende.
Amani Msumari
Tanga
Ulichoandika ndio my concern. Hivi ni elimu yetu, utamaduni au nini? Au usikute naongea na watoto wa form iv humu halafu nalazimisha waelewe concept kubwa. Hupati watu wa kujenga hoja na kujifunza kutoka kwao.Hufai kuwa hata balozi,kiwango chako cha uelewa kidogo sana.