milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Wamuulize Kawaida kama hii nayo ni movie.Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa Katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi.
Hii ni movie nyingine!
Watu wa kisiwa kile sijajua wanasoma elimu ya aina Gani? Kuja kuiongoza bara,wao ni kama kuokota almas!
Inategema ni smart kiasi gani kichwani.Kama anapambanishwa na jiamii anayoiongoza mbona hasemi chochote kuhusu mijadala inayohusu utekaji .
Hili linaweza kuwa igizo lakini kutoka dola kama tulivyoona igizo la yule mkenya aliyedaiwa kumtemka na kumuumiza Dr. Ulimboka.Mwenyekiti wa UVCCM Mohammed Kawaida kupitia mtandao wa Instagram akijibu post ya Twaha Mwaipaya ambaye alichapisha video iliyorekodiwa katika eneo la Kiluvya Madukani jijini Dar es salaam ambapo inaonesha tukio la utekaji ambalo halikufanikiwa, Kawaida amesema
"Hii ni movie kama movie nyengine tuuu munazoendelea kutengeneza kwa lengo la kupata huruma kutoka kwa wananchi, ndugu yangu @twahamwaipaya tukutane serikali za mtaa. Watanzania wanahitaji maendeleo na sio maigizo ya kutengeneza"
Pia soma: MAKALA: Ni kujidanganya kama Taifa kusema mauaji na utekaji ni mambo ya kawaida
View attachment 3151180
Kwa comredi Kawaida hii nayo ni Kawaida tuWatu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa Katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi.
Hii ni movie nyingine!
Watu wa kisiwa kile sijajua wanasoma elimu ya aina Gani? Kuja kuiongoza bara,wao ni kama kuokota almas!
mwambie hata kuuwawa kwa risasi kwa katibu wake huki Kilolo ni Movie kama movie nyingineMwenyekiti wa UVCCM Mohammed Kawaida kupitia mtandao wa Instagram akijibu post ya Twaha Mwaipaya ambaye alichapisha video iliyorekodiwa katika eneo la Kiluvya Madukani jijini Dar es salaam ambapo inaonesha tukio la utekaji ambalo halikufanikiwa, Kawaida amesema
"Hii ni movie kama movie nyengine tuuu munazoendelea kutengeneza kwa lengo la kupata huruma kutoka kwa wananchi, ndugu yangu @twahamwaipaya tukutane serikali za mtaa. Watanzania wanahitaji maendeleo na sio maigizo ya kutengeneza"
Pia soma: MAKALA: Ni kujidanganya kama Taifa kusema mauaji na utekaji ni mambo ya kawaida
View attachment 3151180
SIku atekwe anayemuhusu halafu arudi hapa kuandika ujinga huuMwenyekiti wa UVCCM Mohammed Kawaida kupitia mtandao wa Instagram akijibu post ya Twaha Mwaipaya ambaye alichapisha video iliyorekodiwa katika eneo la Kiluvya Madukani jijini Dar es salaam ambapo inaonesha tukio la utekaji ambalo halikufanikiwa, Kawaida amesema
"Hii ni movie kama movie nyengine tuuu munazoendelea kutengeneza kwa lengo la kupata huruma kutoka kwa wananchi, ndugu yangu @twahamwaipaya tukutane serikali za mtaa. Watanzania wanahitaji maendeleo na sio maigizo ya kutengeneza"
Pia soma: MAKALA: Ni kujidanganya kama Taifa kusema mauaji na utekaji ni mambo ya kawaida
View attachment 3151180
Hili tukio naliona ni kama hujuma ya kwa huyu Mama kuelekea 2025 na bahati mbaya yeye mwenyewe haeleewi anafikiri wako loyal kwake.
Two possible scenarios:
1. Allietaka kutekwa na watekaji wote walikuwa waigizaji lengo ni kuonyesha ubaya wa uongozi wa Bi. Mkubwa.
Tujiuliulize: Angenyooshewa bunduki na kutakiwa aingie ndani ya gari angekuwa na uthubutu wa ku-resist ?
Kwanini hawakumnyohea bunduki ili wamkamate kirahisi?
Maswali ni mengi.
2 Waliotaka kumteka walitumwa ila wamevurunda kwa makusudi kuhujumu
Wahusika wamefanya makusudi kwa kutaka kumkamata kizembe na kuruhusu video ichukuliwe ili isambazwe na wakaona waache kabisa ns ushahidi wa pingu.
Jiulizeni pia walikimbia na gari yao kwa uoga au kuzuga tu?
Kama ni uoga, uoga ulitoka wapi ili hali wananchi walikuwa ni watazamaji tu na wala hawakuwa wengi?
Ushauri: Jamii kwanza ifanye uchaguzi kuhusu huyu bwana anaedaiwa kutekwa kama ni mtu wa kitengo au ni mtu wa aina gani kwa maana ya mahusiano yake na dola.
Nimemaliiza.