Hili tukio naliona ni kama hujuma ya kwa huyu Mama kuelekea 2025 na bahati mbaya yeye mwenyewe haeleewi anafikiri wako loyal kwake.
Two possible scenarios:
1. Allietaka kutekwa na watekaji wote walikuwa waigizaji lengo ni kuonyesha ubaya wa uongozi wa Bi. Mkubwa.
Tujiuliulize: Angenyooshewa bunduki na kutakiwa aingie ndani ya gari angekuwa na uthubutu wa ku-resist ?
Kwanini hawakumnyohea bunduki ili wamkamate kirahisi?
Maswali ni mengi.
2 Waliotaka kumteka walitumwa ila wamevurunda kwa makusudi kuhujumu
Wahusika wamefanya makusudi kwa kutaka kumkamata kizembe na kuruhusu video ichukuliwe ili isambazwe na wakaona waache kabisa ns ushahidi wa pingu.
Jiulizeni pia walikimbia na gari yao kwa uoga au kuzuga tu?
Kama ni uoga, uoga ulitoka wapi ili hali wananchi walikuwa ni watazamaji tu na wala hawakuwa wengi?
Ushauri: Jamii kwanza ifanye uchaguzi kuhusu huyu bwana anaedaiwa kutekwa kama ni mtu wa kitengo au ni mtu wa aina gani kwa maana ya mahusiano yake na dola.
Nimemaliiza.