Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #21
Hahahahahah uzima wetu ni muhimu zaidiNi Gharama sawa lakini fedha hizi mmeshajiuliza nani anazitoa!!!?? THINK BIG
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahah uzima wetu ni muhimu zaidiNi Gharama sawa lakini fedha hizi mmeshajiuliza nani anazitoa!!!?? THINK BIG
Hahahahahahahahahaha,Yani uache kufufua Scania ukanunue Tata?kajifunze Magari bro unatuaibisha...Abood mwenyewe ana Scania Marcopolo Since tunasoma O-level leo tunazeeka bado zinapiga Mzigo...hizo TaTa na Yutong za kichina miaka mi3 tu chali zimechoka watu wanakimbia biashara...ht Diffender huwezi linganisha na magari yenu laini laini ya siku hizi...Acheni kupinga pinga kila kitu tena kwenye vitu msivyo na utaalam navyoKaka umesikia marekebisho yanayofanywa?, nadhani umeshundwa kutoafautisha kati ya kununua used vehicle na kufufua yaliyokufa, tena yamekufa baada ya kuendeshwa na madereva Watanzania, ndani ya Barabara za Tanzania
Hapo ni Bora wangenunua Eicher au Tata Mpya, tena zinatolewa kwa mkopo
Anafufua kwa bajeti ipi?Ni fedha za nani?Tuwe wawaziKumaintain gari chakavu ni gharama sana, huo ni uharibifu wa Pesa tu, hizo gharama za kufufua hayo magari angeweza kupata Eicher au TaTa mpya kabisa
mzee baba hufuatilii vyombo vya habari?Anafufua kwa bajeti ipi?Ni fedha za nani?Tuwe wawazi
Kwa taarifa nilizopata ni kuwa Prof Mbarawa amakataza hilo zoezi.Magari kufufuliwa na wakala wa serikali TAMESAmzee baba hufuatilii vyombo vya habari?
kukufua magari hayo kampuni ya dar coach wamejitolea buuure ndio maana unaambiwa serikali imeokoa zaidi ya 1B
[emoji3]
Hahahahaa Ujenzi wa Mnara wa BabelKwa taarifa nilizopata ni kuwa Prof Mbarawa amakataza hilo zoezi.Magari kufufuliwa na wakala wa serikali TAMESA