Pinacolada
Member
- Jun 30, 2022
- 22
- 57
Wapendwa habari zenu,
Naomba kuuliza kwa mtu ambae alikata TIN ya biashara lakini hakuanza hiyo biashara na Tin alipewa, sasa ni miaka miwili hakurudi, Je hiyo kuifufua Tin haina shida na hakuna faini? Naomba mwenye experience na ili anijulishe.
Naomba kuuliza kwa mtu ambae alikata TIN ya biashara lakini hakuanza hiyo biashara na Tin alipewa, sasa ni miaka miwili hakurudi, Je hiyo kuifufua Tin haina shida na hakuna faini? Naomba mwenye experience na ili anijulishe.