Kuna ulazima gan kuwepo bwawa la matope au wanapendaBanda liwe na milango miwili wakuingilia na wa kutokea... Wanapotoka asubuhi ni moja kwa moja kwenye bwala la mtope wacheze huko wachafuke tani yao, wakirudi jioni wanapitia bwawa la maji safi waoge kisha bandani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Piga kelele kwa Bata bukini wake
Mkoa gan upo bossAcheni kuwavunja watu moyo,bata wana soko tena kubwa na la uhakika, wewe kama haujui soko lilipo Omba uelekezwe, mimi nafuga nauza mayai kila siku yai moja 700 na bata huwa nauza kuanzia 10 na bata dume nauza 35/40 elfu jike 25/30 napata ofa nyingi kila siku, now nimeanza kufuga na sungura
Bata anaweza kufugwa karibu na bwawa bila ya kuwa na madhara kwa viumbe wa kwenye bwawa.Je bata anafugika karibu na bwawa la samaki? Hawezi kuwa threat kwenye bwawa?
Pole sana ndugu jaribu kuwakaguwa labda majike wote hao.
Wakuu
Naomba Ushauri Kwa Wazoefu Waliwahi Kufuga Bata Bukini (Goose)
Ninao Wawili Jike Na Dume, Mara Ya Kwanza Alitaga Mayai Manne
Akatamia Kwa Muda Wa Kutosha Zaidi Ya Siku 21,Ila Baadaye Tukaona Haangui Vifaranga. Ikabidi Tupasue Japo Moja Tukakuta Ndani Ni Meupe
Ametaga Tena Mayai 6 Amelalia Zaidi Ya Siku 28 Lakini Shida Imetokea Ile Ile
Hakuangua Vifaranga, Je Tatizo Laweza Kuwa Nini?
Nifanyeje Aweze Kuangua Vifaranga Endapo Atataga Tena Kwa Mara Ya 3
Tafadhali Wazoefu Na Ambao Wanajua Lolote Ambalo Laweza Kuondoa Shida Niliyoisema. Banda Nimewajengea Nzuri, Sehemu Anayotagia Nimeweka Maranda Ya Mbao Chini, Pia Nimekata Drum La Litres 20 Nikajaza Maranda Vizuri
Kuhakikisha Mayai Yake Yanakuwa Vizuri
Sawa MkuuPole sana ndugu jaribu kuwakaguwa labda majike wote hao.
Yani unamuweka bata na chakula alafu asiwe threat😆😆Je bata anafugika karibu na bwawa la samaki? Hawezi kuwa threat kwenye bwawa?