Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Wakuu, naomba kuuliza,
Kufuga kanga wa porini , sungura na kware, ni lazima kuwepo na kibali?
Kufuga kanga wa porini , sungura na kware, ni lazima kuwepo na kibali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo gani ya kuyajua mkuu?Huhitaji Kibari, Anza Kufuga Lakini Jitahidi Uyajue Baadhi Ya Mambo
Ina Maana Eneo Ulilozaliwa Hakuna Wanaofuga Hata MbwaMambo gani ya kuyajua mkuu?
NimekupataIna Maana Eneo Ulilozaliwa Hakuna Wanaofuga Hata Mbwa