Kufukuzwa kwa Ntobi ni moja ya ishara kwamba Lissu na kundi lake ni madikteta kama alivyokuwa JPM, hawataki uhuru wa mawazo

Kufukuzwa kwa Ntobi ni moja ya ishara kwamba Lissu na kundi lake ni madikteta kama alivyokuwa JPM, hawataki uhuru wa mawazo

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mwenyekiti wa CDM Mkoa wa Shinyanga ameondolewa kwenye nafasi hiyo kwa sababu ameonyesha kumuunga mkono Mbowe.

Kimsingi alitumia uhuru wake wa mawazo kumuunga mkono Mbowe. Kundi la Lissu, kwa formula ile ile ya JPM ya udikteta. Likaitisha kikao haraka haraka, bila hata kumsikiliza, wakamfukuza katika nafasi yake ya uongozi.

Hii ni ishara ya aina ya uongozi ambao chadema itakutana nao endapo Lissu atafanikiwa kuwa Mwenyekiti wa chama-full fledged dictatorship.

Mbowe yeye mwanademokrasia, anaamini katika uhuru wa mawazo.

Japo Lissu amefanya makosa makubwa sana kipindi hiki, yanayotosha kumfuta uanachama, lakini Mbowe amekuwa na uvumilivu wa kisiasa.

Mwenye macho na masikio na ayatumie. Mwenye akili na atafakari.
 
Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA,kama anaamini katika Demokrasia kwanini amekubali Ntobi kutolewa kwenye nafasi yake ?
 
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga ameondolewa kwenye nafasi hiyo kwa sababu ameonyesha kumuunga mkono Mbowe.

Kimsingi alitumia uhuru wake wa mawazo kumuunga mkono Mbowe. Kundi la Lissu, kwa formula ile ile ya JPM ya udikteta. Likaitisha kikao haraka haraka, bila hata kumsikiliza, wakamfukuza katika nafasi yake ya uongozi.

Hii ni ishara ya aina ya uongozi ambao chadema itakutana nao endapo Lissu atafanikiwa kuwa Mwenyekiti wa chama-full fledged dictatorship.

Mbowe yeye mwanademokrasia, anaamini katika uhuru wa mawazo.

Japo Lissu amefanya makosa makubwa sana kipindi hiki, yanayotosha kumfuta uanachama, lakini Mbowe amekuwa na uvumilivu wa kisiasa.

Mwenye macho na masikio na ayatumie. Mwenye akili na atafakari.
Mbona kama unaunga mkono indirect hatua za Ntobi kuondolewa ukuu wake? Wewe unaona sawa mwenyekiti wa ccm kua kiongozi ndani ya Chadema? Lissu na team yake wapo vizuri kwenye hilo
 
Mbona kama unaunga mkono indirect hatua za Ntobi kuondolewa ukuu wake? Wewe unaona sawa mwenyekiti wa ccm kua kiongozi ndani ya Chadema? Lissu na team yake wapo vizuri kwenye hilo
CDM iongozwe na Msigwa?
 
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga ameondolewa kwenye nafasi hiyo kwa sababu ameonyesha kumuunga mkono Mbowe.

Kimsingi alitumia uhuru wake wa mawazo kumuunga mkono Mbowe. Kundi la Lissu, kwa formula ile ile ya JPM ya udikteta. Likaitisha kikao haraka haraka, bila hata kumsikiliza, wakamfukuza katika nafasi yake ya uongozi.

Hii ni ishara ya aina ya uongozi ambao chadema itakutana nao endapo Lissu atafanikiwa kuwa Mwenyekiti wa chama-full fledged dictatorship.

Mbowe yeye mwanademokrasia, anaamini katika uhuru wa mawazo.

Japo Lissu amefanya makosa makubwa sana kipindi hiki, yanayotosha kumfuta uanachama, lakini Mbowe amekuwa na uvumilivu wa kisiasa.

Mwenye macho na masikio na ayatumie. Mwenye akili na atafakari.
Uandishi wako tu,unaonyesha una kiwewe cha uchaguzi.
 
Vipi kukamatwa kwa Slaa kuna onesha mama Abdul ni mtu wa aina gani
 
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga ameondolewa kwenye nafasi hiyo kwa sababu ameonyesha kumuunga mkono Mbowe.

Kimsingi alitumia uhuru wake wa mawazo kumuunga mkono Mbowe. Kundi la Lissu, kwa formula ile ile ya JPM ya udikteta. Likaitisha kikao haraka haraka, bila hata kumsikiliza, wakamfukuza katika nafasi yake ya uongozi.

Hii ni ishara ya aina ya uongozi ambao chadema itakutana nao endapo Lissu atafanikiwa kuwa Mwenyekiti wa chama-full fledged dictatorship.

Mbowe yeye mwanademokrasia, anaamini katika uhuru wa mawazo.

Japo Lissu amefanya makosa makubwa sana kipindi hiki, yanayotosha kumfuta uanachama, lakini Mbowe amekuwa na uvumilivu wa kisiasa.

Mwenye macho na masikio na ayatumie. Mwenye akili na atafakari.
Kwahiyo Lissu ndio kamfukuza?😂😂😂
 
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga ameondolewa kwenye nafasi hiyo kwa sababu ameonyesha kumuunga mkono Mbowe.

Kimsingi alitumia uhuru wake wa mawazo kumuunga mkono Mbowe. Kundi la Lissu, kwa formula ile ile ya JPM ya udikteta. Likaitisha kikao haraka haraka, bila hata kumsikiliza, wakamfukuza katika nafasi yake ya uongozi.

Hii ni ishara ya aina ya uongozi ambao chadema itakutana nao endapo Lissu atafanikiwa kuwa Mwenyekiti wa chama-full fledged dictatorship.

Mbowe yeye mwanademokrasia, anaamini katika uhuru wa mawazo.

Japo Lissu amefanya makosa makubwa sana kipindi hiki, yanayotosha kumfuta uanachama, lakini Mbowe amekuwa na uvumilivu wa kisiasa.

Mwenye macho na masikio na ayatumie. Mwenye akili na atafakari.
Haahaa kumbe ni mwenyekiti wa ccm
 
Mwenyekiti wa CDM Mkoa wa Shinyanga ameondolewa kwenye nafasi hiyo kwa sababu ameonyesha kumuunga mkono Mbowe.

Kimsingi alitumia uhuru wake wa mawazo kumuunga mkono Mbowe. Kundi la Lissu, kwa formula ile ile ya JPM ya udikteta. Likaitisha kikao haraka haraka, bila hata kumsikiliza, wakamfukuza katika nafasi yake ya uongozi.

Hii ni ishara ya aina ya uongozi ambao chadema itakutana nao endapo Lissu atafanikiwa kuwa Mwenyekiti wa chama-full fledged dictatorship.

Mbowe yeye mwanademokrasia, anaamini katika uhuru wa mawazo.

Japo Lissu amefanya makosa makubwa sana kipindi hiki, yanayotosha kumfuta uanachama, lakini Mbowe amekuwa na uvumilivu wa kisiasa.

Mwenye macho na masikio na ayatumie. Mwenye akili na atafakari.
Wewe utopolo usimfananishe JPM na nyenyere shame on you
 
Back
Top Bottom