Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Hiyo ni bahati mbaya. kinamama huwa wanajisafi baada ya kazi kabla ya kurudi nyumbani. huenda ni wakati huo alibadili nje ndani. Pili huenda wewe mwanamme ni mmegaji sana ndiyo maana kila wakati unahofu kuibiwa.
hata mimi fasta fasta nilitaka kumwambia "mazee umesaidiwa" lakini nikasita
kwani hiyo ni kauli nzito inabidi kufikiria zaidi.
Huyo jamaa naye acheze hivyo hivyo ila kwa kuigiza. Asubuhi avae vizuri wazi wazi mbele ya mkewe , halafu kokote atakapoenda siku hiyo, ageuze kufuli lake makusudi. Jioni avue mbele ya mkewe huku akijifanya hajangundua kama amegeuza. Then asikie comments za mkewe, maybe atapata picha fulani !!!
jamaa yangu kaniomba ushauri.
anadai jana asubuhi kamwona mkewe akivaa
na kila kitu kilikuwa salama, lakini jioni mkewe
aliporudi wakati anabadilisha nguo akaona kwamba
mkewe amegeuza chupi yake nje ndani.
sasa anajiuliza imekuwaje amkewe arudi amegeuza
kufuli? au ndio jamaa wameishamsaidia!
nimemwambia ngoja nifikirie jibu. jee waungwana
mnasemaje?
Unapimaje Oil na mke anajua ameiba hivyo lazima sio tu ajipitishe maji bali ni kujiflush kabisa?, so style ya kujisafisha lazima ajichokonoe kwa sana na kama ametumia condom unajuaje pia? Siunajua maumbile tofauti, wengine wakishajimwagia tu maji baridi....haaaa mambo mswano!
kama muda wa kujiswafi ungekuwepo asingegeuza hiyo kufuli ndani nje, ukweli jmaa angepima tu, hata kama alikuwa ametumia condom, ingejulikana tu kuwa kamegwa
kama muda wa kujiswafi ungekuwepo asingegeuza hiyo kufuli ndani nje, ukweli jmaa angepima tu, hata kama alikuwa ametumia condom, ingejulikana tu kuwa kamegwa
ahhh wapi......
...mnh, Nyamayao acha kututoa raha wenzio, wengine tumefunga!
Labda aliigeuza alipokwenda kujisaidia. Mwambie asihangaike kuchunguza sana,yeye atulie na afanye kazi zake. kama mkewe ni mwizi basi atamkamata kirahisi lakini si kihivyo.
...Kama ni faster hakuna haja ya kuvua kufuli..unapenyeza tu kitu ndani ya nyavu!!umemegewawa wewe, na nadhani kilikuwa kitu cha fasta na alimegwa jirani kabisa na hapo mlipo,
Malila,
wanavuaga chupi yote na kuiweka pembeni wakati wakijisaidia! sidhani huyu amemegwa tu.
jamaa yangu kaniomba ushauri.
anadai jana asubuhi kamwona mkewe akivaa
na kila kitu kilikuwa salama, lakini jioni mkewe
aliporudi wakati anabadilisha nguo akaona kwamba
mkewe amegeuza chupi yake nje ndani.
sasa anajiuliza imekuwaje amkewe arudi amegeuza
kufuli? au ndio jamaa wameishamsaidia!
nimemwambia ngoja nifikirie jibu. jee waungwana
mnasemaje?
mmhhhh............