Crimea Bridge
Member
- Oct 8, 2022
- 51
- 152
Pole sana, giza likizidi sana basi jua kunakaribia kupambazukaYaani leo hata sijui siku itaishaje na sijui kesho siku itaanzaje.. maisha haya yasikieni tu. Sometimes mpaka nawaza kujitumbukiza baharini tu, bora iende.. Dah
Haya mawazo tu ila mkuu unaweza pigika na shida na ulikua una fanya yote hayo ila kiasi chote ulicho kihifadhi kikaisha ...haya maisha ni kumuomba Mungu tu atuepushe na mitihani ya duniani.[emoji2972][emoji2972][emoji2972]Kufulia kwa mtu mmoja mmoja ni kiashiria cha ukosefu wa mipango thabiti.
Unacho kula leo ni jasho na kazi uliyoifanya au kuitengeneza siku zilizopita.
Ili kuondokana na huu mkwamo uliokukumbe jitafakari na jiulize maswali yafuatayo.
1. Je ni nini kilicho sababisha leo ufulie?
2. Je nini unaweza kukifanya kikakuondoa kwenye mkwamo ulionao leo?.
3. Je ni kipi unaweza kufanya kuzuia mikwamo kama hii siku zijazo?
Ukipata majibu ya hayo maswali utakuwa katika sehemu nzuri ya kukuondoa kwenye mkwamo.
Ww bado uko salama sana maana bando bado unalo, kufulia kwenyewe ww bado sanaaYaani leo hata sijui siku itaishaje na sijui kesho siku itaanzaje, maisha haya yasikieni tu. Sometimes mpaka nawaza kujitumbukiza baharini tu, bora iende. Dah!
Kwahiyo mb umepata wapi kama umefuria? Au unatumia WiFi?
Tupo wengi ndg haupo mwenyeweYaani leo hata sijui siku itaishaje na sijui kesho siku itaanzaje, maisha haya yasikieni tu. Sometimes mpaka nawaza kujitumbukiza baharini tu, bora iende. Dah!
Mbaya zaidi umefulia halafu washkaji zako wapo kwenye taasisi wanapiga hela za michongo balaa, wanawekeza tu kwenye nyumba za kupangisha, unawaza wewe umemkosea nini Mungu? Luna wakati unaanza kutamani hata kazi za wenzako hahahaha, kuna muda unajikuta unatamani uimbe uwe na hela kama diamond, au ucheze mpira na umri huu wa 40s uwe kama Ronaldo, hatari sana.Yaani leo hata sijui siku itaishaje na sijui kesho siku itaanzaje, maisha haya yasikieni tu. Sometimes mpaka nawaza kujitumbukiza baharini tu, bora iende. Dah!
Hapo kwenye kumkopa dada wa kazi umenikumbusha mbali mkuu.Kufulia hakujawahi muacha mtu salama! Iwe mtu, kampuni au Serikali. Hata serikali pamoja na kwamba inakusanya kila kitu lakini ikiishiwa huwa inawaza kukusanya kodi kwenye barabara na madaraja wakati yamejengwa kwa kodi zao!
Kuna wakati vyuma vinaweza kukaza kila kona hadi ukatamani kumkopa pesa dada wa kazi ilihali hujamlipa mshahara.
Usiombe yakukuteKufulia kwa mtu mmoja mmoja ni kiashiria cha ukosefu wa mipango thabiti.
Unacho kula leo ni jasho na kazi uliyoifanya au kuitengeneza siku zilizopita.
Ili kuondokana na huu mkwamo uliokukumbe jitafakari na jiulize maswali yafuatayo.
1. Je ni nini kilicho sababisha leo ufulie?
2. Je nini unaweza kukifanya kikakuondoa kwenye mkwamo ulionao leo?.
3. Je ni kipi unaweza kufanya kuzuia mikwamo kama hii siku zijazo?
Ukipata majibu ya hayo maswali utakuwa katika sehemu nzuri ya kukuondoa kwenye mkwamo.
Dah ndugu yangu.. MB nimekopa.. Hapa home mezani imebaki sh 50 tu.. sijui hata leo nakula nini na sijui kesho natokaje kwenda mjini kutafuta..
Yalisha nikuta mara kadhaa huko nyuma....lakini mara zote ilikuwa ni sababu ya uzembe wa kuweka mipango thabiti na kuiteleza.Pole mkuu. Naijua hiyo feeling.
KufaYaani leo hata sijui siku itaishaje na sijui kesho siku itaanzaje, maisha haya yasikieni tu. Sometimes mpaka nawaza kujitumbukiza baharini tu, bora iende. Dah!
Hii mbinu niliitumia miaka ile nimepigika kule Burundi ilinisaidia sana mbinu hii. Mama Ndairagije popote ulipo nakusabahi sanaAnzisha mahusiano na mama ntilie uwe unakula bure
Motivational speakerKufulia kwa mtu mmoja mmoja ni kiashiria cha ukosefu wa mipango thabiti.
Unacho kula leo ni jasho na kazi uliyoifanya au kuitengeneza siku zilizopita.
Ili kuondokana na huu mkwamo uliokukumbe jitafakari na jiulize maswali yafuatayo.
1. Je ni nini kilicho sababisha leo ufulie?
2. Je nini unaweza kukifanya kikakuondoa kwenye mkwamo ulionao leo?.
3. Je ni kipi unaweza kufanya kuzuia mikwamo kama hii siku zijazo?
Ukipata majibu ya hayo maswali utakuwa katika sehemu nzuri ya kukuondoa kwenye mkwamo.