Kufulia kubaya sana

Kufulia kubaya sana

Kufulia kwa mtu mmoja mmoja ni kiashiria cha ukosefu wa mipango thabiti.

Unacho kula leo ni jasho na kazi uliyoifanya au kuitengeneza siku zilizopita.

Ili kuondokana na huu mkwamo uliokukumbe jitafakari na jiulize maswali yafuatayo.
1. Je ni nini kilicho sababisha leo ufulie?
2. Je nini unaweza kukifanya kikakuondoa kwenye mkwamo ulionao leo?.
3. Je ni kipi unaweza kufanya kuzuia mikwamo kama hii siku zijazo?

Ukipata majibu ya hayo maswali utakuwa katika sehemu nzuri ya kukuondoa kwenye mkwamo.
 
Kufulia kwa mtu mmoja mmoja ni kiashiria cha ukosefu wa mipango thabiti.

Unacho kula leo ni jasho na kazi uliyoifanya au kuitengeneza siku zilizopita.

Ili kuondokana na huu mkwamo uliokukumbe jitafakari na jiulize maswali yafuatayo.
1. Je ni nini kilicho sababisha leo ufulie?
2. Je nini unaweza kukifanya kikakuondoa kwenye mkwamo ulionao leo?.
3. Je ni kipi unaweza kufanya kuzuia mikwamo kama hii siku zijazo?

Ukipata majibu ya hayo maswali utakuwa katika sehemu nzuri ya kukuondoa kwenye mkwamo.
Haya mawazo tu ila mkuu unaweza pigika na shida na ulikua una fanya yote hayo ila kiasi chote ulicho kihifadhi kikaisha ...haya maisha ni kumuomba Mungu tu atuepushe na mitihani ya duniani.[emoji2972][emoji2972][emoji2972]
 
kufulia kubaya kweli ! hata uzi wako unaonekana uthaminiwi.
*Nzi watakufata njiani wakati umeoga.
*vumbi litakufata wewe hata kama sio sehemu ya vumbi.
*unaweza fungiwa laini ya simu sababu mtandao utashindwa kujua lain yako ipigiwi.
*utazeeka kabla ya umri.
*ukifa utazikwa mapema ili kuepusha usumbufu.
 
Yaani leo hata sijui siku itaishaje na sijui kesho siku itaanzaje, maisha haya yasikieni tu. Sometimes mpaka nawaza kujitumbukiza baharini tu, bora iende. Dah!
Mbaya zaidi umefulia halafu washkaji zako wapo kwenye taasisi wanapiga hela za michongo balaa, wanawekeza tu kwenye nyumba za kupangisha, unawaza wewe umemkosea nini Mungu? Luna wakati unaanza kutamani hata kazi za wenzako hahahaha, kuna muda unajikuta unatamani uimbe uwe na hela kama diamond, au ucheze mpira na umri huu wa 40s uwe kama Ronaldo, hatari sana.
 
Kufulia hakujawahi muacha mtu salama! Iwe mtu, kampuni au Serikali. Hata serikali pamoja na kwamba inakusanya kila kitu lakini ikiishiwa huwa inawaza kukusanya kodi kwenye barabara na madaraja wakati yamejengwa kwa kodi zao!

Kuna wakati vyuma vinaweza kukaza kila kona hadi ukatamani kumkopa pesa dada wa kazi ilihali hujamlipa mshahara.
Hapo kwenye kumkopa dada wa kazi umenikumbusha mbali mkuu.
 
Kufulia kwa mtu mmoja mmoja ni kiashiria cha ukosefu wa mipango thabiti.

Unacho kula leo ni jasho na kazi uliyoifanya au kuitengeneza siku zilizopita.

Ili kuondokana na huu mkwamo uliokukumbe jitafakari na jiulize maswali yafuatayo.
1. Je ni nini kilicho sababisha leo ufulie?
2. Je nini unaweza kukifanya kikakuondoa kwenye mkwamo ulionao leo?.
3. Je ni kipi unaweza kufanya kuzuia mikwamo kama hii siku zijazo?

Ukipata majibu ya hayo maswali utakuwa katika sehemu nzuri ya kukuondoa kwenye mkwamo.
Usiombe yakukute
 
Pole mkuu. Naijua hiyo feeling.
Yalisha nikuta mara kadhaa huko nyuma....lakini mara zote ilikuwa ni sababu ya uzembe wa kuweka mipango thabiti na kuiteleza.

Ila baada ya hizo changamoto nilijifu za...na nashukuru mungu kwa miaka ya hivi karibuni pamoja na ugumu wa maisha sijaadhirika.

Bado nasisitiza, kufulia ni matokeo ya kutokuwa na mipango thabiti.
 
Kufulia kwa mtu mmoja mmoja ni kiashiria cha ukosefu wa mipango thabiti.

Unacho kula leo ni jasho na kazi uliyoifanya au kuitengeneza siku zilizopita.

Ili kuondokana na huu mkwamo uliokukumbe jitafakari na jiulize maswali yafuatayo.
1. Je ni nini kilicho sababisha leo ufulie?
2. Je nini unaweza kukifanya kikakuondoa kwenye mkwamo ulionao leo?.
3. Je ni kipi unaweza kufanya kuzuia mikwamo kama hii siku zijazo?

Ukipata majibu ya hayo maswali utakuwa katika sehemu nzuri ya kukuondoa kwenye mkwamo.
Motivational speaker
 
Back
Top Bottom