Motivational speakeKufulia kwa mtu mmoja mmoja ni kiashiria cha ukosefu wa mipango thabiti.
Unacho kula leo ni jasho na kazi uliyoifanya au kuitengeneza siku zilizopita.
Ili kuondokana na huu mkwamo uliokukumbe jitafakari na jiulize maswali yafuatayo.
1. Je ni nini kilicho sababisha leo ufulie?
2. Je nini unaweza kukifanya kikakuondoa kwenye mkwamo ulionao leo?.
3. Je ni kipi unaweza kufanya kuzuia mikwamo kama hii siku zijazo?
Ukipata majibu ya hayo maswali utakuwa katika sehemu nzuri ya kukuondoa kwenye mkwamo.
Uimbe wakati hata sauti huna, bora ujifanye mganga wa kienyeji wa mchongoMbaya zaidi umefulia halafu washkaji zako wapo kwenye taasisi wanapiga hela za michongo balaa, wanawekeza tu kwenye nyumba za kupangisha, unawaza wewe umemkosea nini Mungu? Luna wakati unaanza kutamani hata kazi za wenzako hahahaha, kuna muda unajikuta unatamani uimbe uwe na hela kama diamond, au ucheze mpira na umri huu wa 40s uwe kama Ronaldo, hatari sana.