Kufulia kwa julius nyaisanga

Inaonekana hujui matumizi ya celebrities forum... Ni kujadili maisha ya watu maarufu au waliowahi kuwa maarufu, kwa mema na mabaya wayafanyayo au yawatokeao.... Kama unamind sana basi mlete paka wako tumjadili..
 
Inaonekana hujui matumizi ya celebrities forum... Ni kujadili maisha ya watu maarufu au waliowahi kuwa maarufu, kwa mema na mabaya wayafanyayo au yawatokeao.... Kama unamind sana basi mlete paka wako tumjadili..
bora umwambie mkuu, hili jukwaa la celebrities ni mahsusi kabisa kwa kujadili watu maarufu mbalimbali tanzania
 
Angekua TBC 1 angeukwaa ukuu wa Wilaya kama akina Kipozi!
 



Kama umejitosa kufuatilia maisha ya mtu uje na details kamili siyo na mawazo yako aiseee.....
 
Waswahil bana ndo maana hatuendelei,ukiwa nazo tatizo Mara ooooh muuza poda/sembe haiwezekan akawa vile,ukiwa hauna napo Kosa kafulia,Jaman maisha ni kupanda na kushuka na Elim haimtup mtu kaacha kaz kapata kaz mambo yAKe yatakua Sawa tu ni binadam.embu tuwe tunaongelea maendeleo yetu binafsi cyo Watu na familia zao.Mengine mwachie Baba na Mama.....!!!!!!!
 
Kuwa mkurugenzi mkuu wa abood radio na tv ni kufulia!????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…