franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,406
- 1,475
Tulirudi home huku anapayuka njia nzima. Aisee sirudii Tena kuchepukaIkawaje mkuu
mwanamke akikufumania inatakiwa umchape makofi
Nakumbuka Disemba 2017 wife alinifumania lodge fulani (Sinza Palestina) aisee. Nilipaniki na kuona noma kwa wakati mmoja. Alijaza shazi (watu) balaa.
NB: Wife anaongea balaa mimi kimyaaa.... Nitaongea nini Sasa?
yeye alikuwa anaenda wapi maeneo ya gest? ungembana na yeye yangeishaNakumbuka Disemba 2017 wife alinifumania lodge fulani (Sinza Palestina) aisee. Nilipaniki na kuona noma kwa wakati mmoja. Alijaza shazi (watu) balaa.
NB: Wife anaongea balaa mimi kimyaaa.... Nitaongea nini Sasa?
haaaaa nyie jamaniKufumaniwa noma.
Mfumaniwa: Kimbiza unavyoweza nauli nitakulipa tukifika.
Bodaboda: Nauli umeweka wapi?
View attachment 1926321
Mke wako freemasonNakumbuka Disemba 2017 wife alinifumania lodge fulani (Sinza Palestina) aisee. Nilipaniki na kuona noma kwa wakati mmoja. Alijaza shazi (watu) balaa.
NB: Wife anaongea balaa mimi kimyaaa.... Nitaongea nini Sasa?
Unafikili huwa wanatoaga ushuhuda basi hao waliwa tigoNikajuwa nakuja kusoma stori ya majeruhi aliyeponea chupu chupu kuliwa 0713 baada ya kufumaniwa na mke wa mtu
Kwahiyo mkuu ulichambwa halafu nawewe ukanywea?
HahahaKufumaniwa noma.
Mfumaniwa: Kimbiza unavyoweza nauli nitakulipa tukifika.
Bodaboda: Nauli umeweka wapi?
View attachment 1926321
Hatari sanaHahaha