steveachi JF-Expert Member Joined Nov 7, 2011 Posts 10,643 Reaction score 12,247 Sep 7, 2021 #21 Chaliifrancisco said: Kufumaniwa noma. Mfumaniwa: Kimbiza unavyoweza nauli nitakulipa tukifika. Bodaboda: Nauli umeweka wapi? View attachment 1926321 Click to expand... Hapo boda nae anakwenda kujilia kiulainiiii
Chaliifrancisco said: Kufumaniwa noma. Mfumaniwa: Kimbiza unavyoweza nauli nitakulipa tukifika. Bodaboda: Nauli umeweka wapi? View attachment 1926321 Click to expand... Hapo boda nae anakwenda kujilia kiulainiiii
Mr Slim JF-Expert Member Joined Sep 11, 2018 Posts 2,652 Reaction score 5,242 Sep 7, 2021 #22 Ngunichile said: Uyo siyo wife wako tena Click to expand... Mimi nimekuelewa
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 142,674 Reaction score 743,909 Sep 9, 2021 #23 Hiyo cha mtoto, mchezo hasa ufumaniwe na mke wa mtu. Hapo ndiyo utaelewa maana ya mke wa mtu. Lazima utanyooka
Hiyo cha mtoto, mchezo hasa ufumaniwe na mke wa mtu. Hapo ndiyo utaelewa maana ya mke wa mtu. Lazima utanyooka
benruby JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 404 Reaction score 588 Sep 9, 2021 #24 Chaliifrancisco said: Kufumaniwa noma. Mfumaniwa: Kimbiza unavyoweza nauli nitakulipa tukifika. Bodaboda: Nauli umeweka wapi? View attachment 1926321 Click to expand... Kimeumana
Chaliifrancisco said: Kufumaniwa noma. Mfumaniwa: Kimbiza unavyoweza nauli nitakulipa tukifika. Bodaboda: Nauli umeweka wapi? View attachment 1926321 Click to expand... Kimeumana
Inside10 JF-Expert Member Joined May 20, 2011 Posts 29,909 Reaction score 32,414 Sep 9, 2021 #25 franktemu123 said: Nakumbuka Disemba 2017 wife alinifumania lodge fulani (Sinza Palestina) aisee. Nilipaniki na kuona noma kwa wakati mmoja. Alijaza shazi (watu) balaa. NB: Wife anaongea balaa mimi kimyaaa.... Nitaongea nini Sasa? Click to expand... Uzi teyari tozo hizi
franktemu123 said: Nakumbuka Disemba 2017 wife alinifumania lodge fulani (Sinza Palestina) aisee. Nilipaniki na kuona noma kwa wakati mmoja. Alijaza shazi (watu) balaa. NB: Wife anaongea balaa mimi kimyaaa.... Nitaongea nini Sasa? Click to expand... Uzi teyari tozo hizi