Kufunga PM ni uoga na kutokujiamini.

Pm yangu iko waz wadada wote manao taka maisha murua karibun Sana mm sio 7800tsh nawakaribisha Sana ila tu uwe mvumilivu Mana kuja kuonana Ni miaka 3 ijayo panapo uhai
 
Pm yangu iko waz wadada wote manao taka maisha murua karibun Sana mm sio 7800tsh nawakaribisha Sana ila tu uwe mvumilivu Mana kuja kuonana Ni miaka 3 ijayo panapo uhai

[emoji23][emoji23][emoji23] kwani uliambiwa hatuna passport?
 
Kabisa ya nini kufunga PM,kama hautaki kujibu si unapiga Kimya tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…